Hongera kwa kazi nzuri mkuu wangu. Naomba kama hiyo kazi bado unayo nitumie PM niipitie ili tusaidiane kuiweka sawa. Asante.Ile Kamusi ya Semi za Kiswahili (watungaji Ndalu na King'ei) nimeitafsiri binfafsi kwa kimombo. Je, kuna mtu ambaye angependa kusoma tafsiri langu aone kama masahihisho lazima yafanywe au la? Kusudi langu kusambaza kazi hiyo kwa wanaotaka kuendeleza kiingereza chao.
Huku nyuma nimeshindwa kabisa kuwasiliana na Mabwana Ndalu na King'ei. Nifanyeje?
Mkuu naomba jibu la hiki kitendawili chako.huko cendi, kuna wachawi, jibu lake ni tonge liendapo kinywani, kitendawiliii
viti vyote nimekalia isipokuwa hicho
Ngoja wajeJamani me naomba mnisaidie kutafsiri kwenda lugha ya kiingereza kwa tafsiri halali
"siwezi chezea shilingi katika tundu la choo"
Na
"Huruma isizidi uwezo"
Naomba mnisaidieni nini ni maana methalikulia kwake ni kicheko kwetu