Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

Kitendawilii.....

1. Anajihami bila silaha. Jibu lake ni nini?
2. Hesabu yake haina faida. Jibu lake ni nini?
 
Ile Kamusi ya Semi za Kiswahili (watungaji Ndalu na King'ei) nimeitafsiri binfafsi kwa kimombo. Je, kuna mtu ambaye angependa kusoma tafsiri langu aone kama masahihisho lazima yafanywe au la? Kusudi langu kusambaza kazi hiyo kwa wanaotaka kuendeleza kiingereza chao.
Huku nyuma nimeshindwa kabisa kuwasiliana na Mabwana Ndalu na King'ei. Nifanyeje?
Hongera kwa kazi nzuri mkuu wangu. Naomba kama hiyo kazi bado unayo nitumie PM niipitie ili tusaidiane kuiweka sawa. Asante.
 
^The brains of being told, add yours^

Akili za kuambiwa…


^The arguments are not beaten by a club; arguments are answered by arguments^

Hoja hazipigwi rungu; hoja hujibiwa kwa hoja
 
Jamani me naomba mnisaidie kutafsiri kwenda lugha ya kiingereza kwa tafsiri halali

"siwezi chezea shilingi katika tundu la choo"

Na

"Huruma isizidi uwezo"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom