mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,313
Umechelewa sana kujua, ila ndio lugha ya pili kwa kuzungumzwa africa.Basi kumbe ni tatizo zaidi kumbe, hata Tz Kiswahili hakiongelewi na Watz wote
Umechelewa sana kujua, ila ndio lugha ya pili kwa kuzungumzwa africa.Basi kumbe ni tatizo zaidi kumbe, hata Tz Kiswahili hakiongelewi na Watz wote
Malawi ,zambia na msumbiji hawajui kabisa kishwahil except baadh yavijij vya mipakan mle
Zambia nakonde tu apo hawajui kishwahil
Malawo chitipa ndo hawajui kishwahil
Burundi, Congo na Rwanda kiswahili kinazungumzwa kwa zaidi ya 50% hilo nina uhakika nalo.
Heheee ni kama Serengeti Boyz ilivyokuwa bora AfrikaUmechelewa sana kujua, ila ndio lugha ya pili kwa kuzungumzwa africa.
Heheee ni kama Serengeti Boyz ilivyokuwa bora Afrika
Mkuu labda sijaeleweka. Hoja yangu ni kwamba kuzungumza lugha yoyote, iwe Kiswahili au nyingine, ikatafsiriwa kwa lugha ya pili sio lazima iwe wasikilzaji hawailewi. Hii hufanywa iwapo lugha hiyo ama sio lugha ya taifa au sio lugha rasmi. Malawi Kiswahili sio lugha ya taifa wala sio lugha rasmi, ndo hotuba ya uncle ilifasiriwa kwa lugha ama ya taifa au lugha rasmi. Naelewa, ingawa sina hakika, lugha rasmi ya Malawi ni Kiingereza, lakini pia Chichewa ama ni lugha ya taifa au ni moja ya lugha rasmi za nchi hiyo. Hivyo sio ishara tosha kwamba watu/wasikilizaji walikuwa hawaielewi lugha ya Kiswahili. Vyovyote iwavyo, uncle katika hili anaikuza lugha ya Kiswahili, iwe anajua au hajui lugha ya Kiingereza KWA UFASAHAsasa mbona hueleweki Mkuu? Kiswahili kinazungumzwa nchi nyingi wakati hata majirani wa karibu tu hapo hawakijui?
Au kwa kuwa unaona wazungu wakizungumza Kiswahili unasema basi kimeenea Duniani? Wazungu wanazungumza hadi kinyarwanda, so utasema kinyarwanda kimeenea Duniani?
Chitipa na karonga ni sawa nakuwa Mbeya tuMalawi kiswahili kinazungumzwa kwa kiasi kidogo sana na watu wachache sana katika wilaya za Karonga,chitipa na Mzimba( Mzuzu city)
Mkuu nakuhakikishia michepuko watatuponda kwamba rais wetu kaongea broken,huwajui wamalawi wewe,watanzania tunaafadhari,right ungejua wanavyomponda Prof APM ?Hawawezi wakawacheka, kisa rais kaongea kiingereza kibovu sababu wao sio wajinga kama nyinyi.
Maana hapa pia mnaponda rais kuongea lugha yake.
Basi watawazomea na kuwaacha mtakapowaambia rais wetu hajui kabisa kuongea kiingereza. Akaongea lugha ya kiswahili.Mkuu nakuhakikishia michepuko watatuponda kwamba rais wetu kaongea broken,huwajui wamalawi wewe,watanzania tunaafadhari,right ungejua wanavyomponda Prof APM ?
Ni kweli mkuu hata bidhaa nyingi zinazouzwa kwenye maduka yao isipokuwa people's na chipiku ni Tanzania productsChitipa na karonga ni sawa nakuwa Mbeya tu
Hivi Tanzania Kuna lugha ngapi?Hawa jamaa wana lugha nyingi sana,kinyanja,kichewa,kitumbuka na Kiingilishi.....Kiswahili ni ngumu kutoboa,ila kwasasa waTz niwengi so kinasogea kiasi
Yeah kweli kabisaNi kweli mkuu hata bidhaa nyingi zinazouzwa kwenye maduka yao isipokuwa people's na chipiku ni Tanzania products
Official ni 2 Kiingilishi na KiswahiliHivi Tanzania Kuna lugha ngapi?
Sasa kama lugha inaeleweka na wengi point ya Kuitafsiri ni nini?Mkuu labda sijaeleweka. Hoja yangu ni kwamba kuzungumza lugha yoyote, iwe Kiswahili au nyingine, ikatafsiriwa kwa lugha ya pili sio lazima iwe wasikilzaji hawailewi. Hii hufanywa iwapo lugha hiyo ama sio lugha ya taifa au sio lugha rasmi. Malawi Kiswahili sio lugha ya taifa wala sio lugha rasmi, ndo hotuba ya uncle ilifasiriwa kwa lugha ama ya taifa au lugha rasmi. Naelewa, ingawa sina hakika, lugha rasmi ya Malawi ni Kiingereza, lakini pia Chichewa ama ni lugha ya taifa au ni moja ya lugha rasmi za nchi hiyo. Hivyo sio ishara tosha kwamba watu/wasikilizaji walikuwa hawaielewi lugha ya Kiswahili. Vyovyote iwavyo, uncle katika hili anaikuza lugha ya Kiswahili, iwe anajua au hajui lugha ya Kiingereza KWA UFASAHA
Ujue tungekuja na utafiti wenye takwimu kidogo ndio huu mjadala ungekuwa na mashiko kuliko maneno matupuTofautisha lugha inayokuwa kwa kasi na kuongelewa sehemu nyingi kwa upande wa lugha za Africa kiswahili ndio lugha rasmi inayojulikana kimataifa kusema malawi hawaongei sio kipimo kuwa kiswahili hakiongelewi nimekaa msumbiji provincial ya cabo delgado yote wanazumza kiswahili na cha kushangaza kuna miji ambayo ipo mbali na mpaka wa Tanzania na msumbiji wanazungumza kiswahili...juzi Roma wakati wa kujiandaa na pasaka chuo cha st. Anselm waafrica wanaosoma hapo waliamua kusali misa kwa kiswahili kama lugha pekee rasmi kutoka Africa...sào paulo Brazil nimeshuhudia watoto wakiimba kwa lugha tofauti duniani na wakaimba pia kwa kiswahili unataka lugha hii ikue kwa kiwango kipi? jivunie cha kwako then fanya tafiti kwanza kabla kusema jambo fulani
"everybody have..." anko maguKumudu kuongea lugha kwa ufasaha ni kipaji.Ukienda pupa unaangukia komwe.
Malawi official ni ngapi?Official ni 2 Kiingilishi na Kiswahili
Hatari sana."everybody have..." anko magu
Ujue tungekuja na utafiti wenye takwimu kidogo ndio huu mjadala ungekuwa na mashiko kuliko maneno matupu
Hapa nime search mtandaoni nikaona 0.1% ya Watu wa Msumbiji ndio wanaojua Kiswahili hii ilikuwa ni takwimu zilizokusanywa mwaka 1998, japo inawez kuwa idadi imepanda haiwezi kuzidi 10%
Waongeaji wengi ni wa mpakani, ukienda ndani haeakielewi, so mtu unaweza ishi kwenye sehemu ipo mpakani wakawa wanazungumza Kiswahili ukadhani ni nchi nzima