Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Wanajamii,
Niliwahi kusikia kuwa Lugha hukua, hudumaa na Lugha yaweza kufa.
Mimi najiuliza endapo Lugha ya Kiswahili inakua, au iko katika hali gani?
Je nawezaje kujua kama kiswahili kinakua au kimedumaa au kinadorora?
Niliwahi kusikia kuwa Lugha hukua, hudumaa na Lugha yaweza kufa.
Mimi najiuliza endapo Lugha ya Kiswahili inakua, au iko katika hali gani?
Je nawezaje kujua kama kiswahili kinakua au kimedumaa au kinadorora?