ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Sijui kama viongozi wizara ya elimu huwa wanafanya tathmini ya perfomance Shule za serikali na zile za Private?
Miaka yote Shule za private zinaongoza katika top ten..kwanini isiwe za serikali?kwanini serikali haifuatilii changamoto hii?
Ifikie pahali tukubali tu kua in lazima au muhimu kiingereza kitumike kuanzia Shule za awali hadi vyuoni kinyume cha hapo tutakuja kupata matatizo Mengi mbeleni..kwa maana uelewa wa wahitimu wengi utakua wa chini hivyo kushindwa kufikia viwango shindanishi
Mifano hai ipo hata sasa
Wakenya wengi wapo nchini wakiwa viongozi sehemu mbalimbali ktk makampuni,mabenki na hata viwandani..na siri hapa elimu yaweza kuwa kiwango sawa isipokua quality
Hawezi mwanafunzi wetu akafanya vizuri secondary school ikiwa mpaka anamaliza darasa la saba hawezi Ku hesabu kwa kiingereza mpaka namba 100....hii ni hatari Mfano Mimi mwanangu alimaliza mwaka juzi darasa LA saba English medium hapa Dar darasani wao walikua wanafunzi jumla waliomaliza 16 tu darasa zima akachaguliwa sekondari ya kata mbagala kuu darasa lote walikua jumla 600..likagawanywa streams A-F....siku ya pili tu ikaonekana mwanangu ni mmoja kati ya watoto wachache walioonekana na kiwango bora kabisa!....kwa utofauti wa ki uwezo baina yake na wenzake ilibidi nimuhamishe Shule akaenda kwenye Shule ya standard yake na huko anaendelea vema
Naomba wizara ya elimu walifikirie sana jambo hili la lugha na kuzifuatilia kwa karibu Shule hizi za serikali kuona uwiano wa walimu na wanafunzi kwa idadi pia mahitaji ya walimu wa masomo yote watosheleze darasa lote shule nzima
Wizara iboreshe mazingira ya hali za maisha na ufundishaji kuwajengea walimu hamasa ya kuipenda kazi,lakini kubwa ni English itumike mashuleni kuanzia nursery school.
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka yote Shule za private zinaongoza katika top ten..kwanini isiwe za serikali?kwanini serikali haifuatilii changamoto hii?
Ifikie pahali tukubali tu kua in lazima au muhimu kiingereza kitumike kuanzia Shule za awali hadi vyuoni kinyume cha hapo tutakuja kupata matatizo Mengi mbeleni..kwa maana uelewa wa wahitimu wengi utakua wa chini hivyo kushindwa kufikia viwango shindanishi
Mifano hai ipo hata sasa
Wakenya wengi wapo nchini wakiwa viongozi sehemu mbalimbali ktk makampuni,mabenki na hata viwandani..na siri hapa elimu yaweza kuwa kiwango sawa isipokua quality
Hawezi mwanafunzi wetu akafanya vizuri secondary school ikiwa mpaka anamaliza darasa la saba hawezi Ku hesabu kwa kiingereza mpaka namba 100....hii ni hatari Mfano Mimi mwanangu alimaliza mwaka juzi darasa LA saba English medium hapa Dar darasani wao walikua wanafunzi jumla waliomaliza 16 tu darasa zima akachaguliwa sekondari ya kata mbagala kuu darasa lote walikua jumla 600..likagawanywa streams A-F....siku ya pili tu ikaonekana mwanangu ni mmoja kati ya watoto wachache walioonekana na kiwango bora kabisa!....kwa utofauti wa ki uwezo baina yake na wenzake ilibidi nimuhamishe Shule akaenda kwenye Shule ya standard yake na huko anaendelea vema
Naomba wizara ya elimu walifikirie sana jambo hili la lugha na kuzifuatilia kwa karibu Shule hizi za serikali kuona uwiano wa walimu na wanafunzi kwa idadi pia mahitaji ya walimu wa masomo yote watosheleze darasa lote shule nzima
Wizara iboreshe mazingira ya hali za maisha na ufundishaji kuwajengea walimu hamasa ya kuipenda kazi,lakini kubwa ni English itumike mashuleni kuanzia nursery school.
Sent using Jamii Forums mobile app