Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato!

Timiza majukumu popote,lakini ikulu inaendelea kubaki ni eneo specific.

Rais anapokuwa ziarani kila anaposimama inamaana panageuka kuwa ikulu?

Hahaha kumbe kwetu kilanjelanje napo palishakuwa ikulu.


Kuna watu leo wanafanyia kazi nyumbani, utasema nipo TBL hapa ilala,huku unajua umejifungia chumbani kwako?

Yeye achape kazi popote pale,hata asiporudi ikulu hadi amalize muda wake. Sisi wananchi tunataka kazi ziende.

Ila tunajua hayupo ikulu,anafanyia kazi sehemu nyingine.

Kuna RC mmoja nae eti vikao vinafanyikia nyumban kwake. Asubirie apate anachokitaka.

Sent using iphone pro max
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Moshi, Iringa, etc, na mikao ambayo haina Ikulu ndogo, then kuna state lodge.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, ikitokea ka kolona kamekuja, kametukuta watu tuko kwenye vacations zetu, hatuwezi kukatisha vacations zetu kwasababu ya ka kolona na wala hatuwezi kukuambia ka Kolona!.
Watanzania tupunguzeni kulalamika!, Chato ni kijijini kwa rais Magufuli na ni nyumbani kwa rais Magufuli, akiwa likizo au mapumzikoni mjini Chato anakuwa amepumzika kwake kama Mwalimu Nyerere alivyokuwa ana pumzika Butiama, Mkapa Mwinyi pale Mikocheni, Mkapa Masasi, Kikwete Msoga na sasa Magufuli Chato.

Lakini rais akifanya majukumu yake yoyote ya kiraisi akiwa eneo fulani, ikiwemo kuteua, kuapisha, kulihutubia taifa, kukutana na wakuu wa ulinzi na usalama au kuendesha cabinet, then eneo hilo linageuka ni Ikulu!. Hii ni Ikulu ya Chato!.


Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
Pia msoga na butiama
 
Pia msoga na butiama
Msoga na Butiama ni makazi tuu ya rais, hazikuwahi kuwa Ikulu, kwasababu marais wale walikuwa wanakwenda kupumzika na wana pumzika kweli.

Chato ni Ikulu ya Chato kwasababu sasa sio kupumzika bali ni eneo la kazi, hivyo panageuka kutoka makazi binafsi na kugeuka ofisi with staff and amenities.
P
 
Wanabodi,

Kiukweli baadhi ya Watanzania ni walalamishi mpaka basi, baada ya rais Magufuli kushinda urais wa Tanzania katika uchaguzi huru, wa haki na wa kidemokrasia, na serikali ikaamua kujenga uwanja wa ndege Chato, kuna watu humu walipinga sana ujenzi wa uwanja huo, mimi ni miongoni mwa wachache tuliounga mkono ujenzi wa uwanja huo
Naunga Mkono Uwanja wa Ndege wa Chato, Una Justification, Utakuwa kama Ggabolite, au Yamoussoukro, Watalii Watamiminika! - JamiiForums

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena kupiga kelele, kwanini rais yuko Chato muda mrefu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, Kiswahili ndio lugha yetu kuu, tunakimanya vilivyo.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Moshi, Iringa, etc, na mikao ambayo haina Ikulu ndogo, then kuna state lodge.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile huko Chato anatimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?.

Hii ni press release ya leo
View attachment 1426440
Hitimisho.
Watanzania wazalendo watapenda kumuona rais wao akitimiza majukumu yake ya urais akiwa popote na tungependa rais wetu awe free kukaa mahali popote anapopenda as long as it takes.
Kuna watu wenye akili fupi wanadhani uwepo wa rais Magufuli Chato ni kuikimbia Corona, it's not!, kwa sisi ambao ka Kolona ni kaugonjwa kadogo ambacho hakatishi na tusitishane, ikitokea ka kolona kamekuja, kametukuta watu tuko kwenye vacations zetu, hatuwezi kukatisha vacations zetu kwasababu ya ka kolona na wala hatuwezi kukuambia ka Kolona!.
Watanzania tupunguzeni kulalamika!, Chato ni kijijini kwa rais Magufuli na ni nyumbani kwa rais Magufuli, akiwa likizo au mapumzikoni mjini Chato anakuwa amepumzika kwake kama Mwalimu Nyerere alivyokuwa ana pumzika Butiama, Mkapa Mwinyi pale Mikocheni, Mkapa Masasi, Kikwete Msoga na sasa Magufuli Chato.

Lakini rais akifanya majukumu yake yoyote ya kiraisi akiwa eneo fulani, ikiwemo kuteua, kuapisha, kulihutubia taifa, kukutana na wakuu wa ulinzi na usalama au kuendesha cabinet, then eneo hilo linageuka ni Ikulu!. Hii ni Ikulu ya Chato!.


Paskali
Rejea
Hongera Rais Magufuli kuipendezesha Ikulu yetu kuliko enzi za Nyerere, Ikulu iwe kivutio cha utalii, restrictions ziondolewe watalii wafurike - JamiiForums

Tusilalamike tuu, kulaumu na kulaani kila kitu, kwenye mazuri tupongeze! Rais Magufuli is changing for the better!. - JamiiForums

Tusikalie kumlaumu tu Rais Magufuli na Serikali yake wanapofanya mabaya, kwenye mazuri, pia tupongeze!. - JamiiForums

Paschal Mayalla: Acheni kulalamika, kubalini mafanikio ya Serikali - JamiiForums
Samwel Sitta Mungu akutehemu maana uliona mbali. Ofisi ya Spika Urambo ilijengwa sehemu sahihi maana Spika wa Bunge ni wa Tanzania nzima hivyo anaweza kuwa na ofisi popote. Baada ya uchaguzi wa mwaka huu tunatarajia Rais ateue wakuu wa mikoa wanaotoka mikoa wanayoongoza iwe rahisi kuongoza kutokea nyumbani. Mfano, Mwakasege akiteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa MBEYA atakuwa na ofisi Mbeya mjini kama makao makuu ya mkoa, Tukuyu mjini, na Mwakaleli ambako ni nyumbani kwake. Kwa hiyo kazi zitafanyika muda wote hata akiwa nyumbani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais hapo Msasani, then pangekuwa ni ikulu ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati akiwa Butiama, akiamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Hapo umedanya watu kumbe na wewe Pascal ni mburura tu kama mamburura wengine

Ikulu ni Ofisi ya raisi na ipo kikatiba ndani ya hiyo ikulu kama kuna nyumba raisi akiamua kuishi hapo sio kosa

Msasani yalikuwa ni makazi ya Mwl Nyerere na ndio maana alikuwa asubuhi anaenda ofisini ambako ni ikulu magogoni na jioni anarudi nyumbani kwake msasani kupumzika na familia yake

Naona humu watu wengi wanasema huwa unamtetea sana raisi ili upate uongozi kama kweli utapata uongozo utakuwa sio kiongozi nzuri maana wewe ni NDUMELAKUILI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msoga na Butiama ni makazi tuu ya rais, hazikuwahi kuwa Ikulu, kwasababu marais wale walikuwa wanakwenda kupumzika na wana pumzika kweli.

Chato ni Ikulu ya Chato kwasababu sasa sio kupumzika bali ni eneo la kazi, hivyo panageuka kutoka makazi binafsi na kugeuka ofisi with staff and amenities.
P
Thanks Dkt.P# CHATTLE PALACE# Stay Home
 
Msoga na Butiama ni makazi tuu ya rais, hazikuwahi kuwa Ikulu, kwasababu marais wale walikuwa wanakwenda kupumzika na wana pumzika kweli.

Chato ni Ikulu ya Chato kwasababu sasa sio kupumzika bali ni eneo la kazi, hivyo panageuka kutoka makazi binafsi na kugeuka ofisi with staff and amenities.
P
Duh! Kwa hiyo Rais ajae naye atakuwa na uwezo wa kufanyia kazi Chato? Au huyu akistaafu na hiyo Ikulu itaishia hapo hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ugawaji wa Tausi huu Ugawaji wa Tausi, kabla ya Raisi Hajagawa tausi kwa wastaafu, kuna hotel inaitwa JS imeshapatiwa hao Tausi kitambo,

Ni mmiliki nani na nani hasa aliruhusu wato Ikulu?

Britannica
Mkuu Britanicca, acha uchokozi na uchochezi, tausi ni ndege tuu kama ndege wengine wote na wanapatikana mahali pengi.

Kwa bandiko hili, ikiamuliwa kufunguliwa kesi ya uchochezi, jee utaweza kuthibitisha kuwa hao tausi wa JS Hotel pale Chato ni tausi kutoka Ikulu yetu?, unamaanisha kuna mwizi kaingia Ikulu yetu, akawaiba wale tausi wa Nyerere pale Ikulu ambao ni nyara za taifa, akawapeleka huko JS hotel?.
Au anamaanisha miongoni mwa watu wenye access na Ikulu yetu, kuna mtu ni mwizi kaiba tausi wetu ambao ni nyara za serikali, na kuwauza kwa JS hotel ya Chato?.

This is criminal liability, hivyo kama kuna tausi wa nyara za serikali pale JS Hotel, Chato, na police wetu wanasoma JF, waanzishe uchunguzi hapo JS kuchunguza yafuatayo
  1. Jee ni kweli JS hotel ya Chato kuna tausi?.
  2. Waliwapata wapi hao tausi?
  3. Wana vibali vya kumiliki nyara za serikali?
  4. Kama ni tausi kutoka Ikulu yetu, nani aliruhusu nyara hizo za serikali kuchukuliwa na kupelekwa hotel binafsi?.
  5. Kama ni kweli tausi hao wa JS hotel ni kutoka Ikulu yetu, then huu nao ni ufisadi tuu kama ufisadi mwingine wowote!.
NB. Angalizo: Kufuatia JS hotel kuwa karibu na Ikulu ya Chato, usikute tausi ambao Mkuu Britanicca amewaona ni tausi wa Ikulu ya Chato wakiranda randa mitaani kama wale Tausi wa Ikulu ya Magogoni wanavyo randa randa maeneo mengi, and this being the case, hakuna kesi wala hakuna issue!
P
 
Wanabodi,

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena ujinga mwingine wa kupiga kelele za kijinga jinga, eti kwanini rais Magufuli yuko Chato kwa muda mrefu?!.

Tuambizane ukweli, Chato si ndio kwao rais Magufuli?. Kuna ubaya gani kama rais Magufuli atakuwa kwao kwa muda mrefu kadri atakavyo as long as anaendelea kutimiza majukumu yake mbalimbali kikamilifu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, wakati wengi wetu wamezaliwa vijijini, lugha yao kuu ya kwanza ni kilugha chao, kisha ndipo kije Kiswahili, lakini kwa sisi tulio zaliwa mjini, yaani "born town", Kiswahili ndio lugha yetu kuu ya kwanza, tunakimanya vilivyo, hivyo kunapotokea wajinga wajinga wasiojua vizuri lugha ya Kiswahili, hakuna ubaya, kujitolea kuwandeshea darasa la kuwafunza, ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu wajinga kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino!. Hawa ni wajinga na huu ni ujinga!.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, eneo hilo hugeuka Ikulu. Hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Moshi, Iringa, etc, na mikao ambayo haina Ikulu ndogo, then kuna state lodge.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais pale Msasani, then Msasani napo pangekuwa ni ikulu ndogo ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati Mwalimu Nyerere akiwa Butiama, angeamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, wakati akiwa Butiama kama kuteua, kuapisha, etc, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile wakati rais Magufuli yuko huko Chato kwa mapumziko matupu, lakini wakati huo huo, anaendelea kutimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu wajinga kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?!. Ni kelele za ujinga tuu!. Watanzania wenzangu tusiwe wajinga!.
Leo hii inaweza kuwa ndio the final and the last use of Ikulu ya Chato.

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuaga rasmi.

Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Wanabodi,

Sasa rais Magufuli yuko Chato, watu humu wanaanza tena ujinga mwingine wa kupiga kelele za kijinga jinga, eti kwanini rais Magufuli yuko Chato kwa muda mrefu?!.

Tuambizane ukweli, Chato si ndio kwao rais Magufuli?. Kuna ubaya gani kama rais Magufuli atakuwa kwao kwa muda mrefu kadri atakavyo as long as anaendelea kutimiza majukumu yake mbalimbali kikamilifu?.

Japo Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa, lakini kiukweli Kiswahili ni kigumu hata kwa baadhi ya Waswahili wenyewe, hivyo kwa vile ni mmoja wa Watanzania tuliobahatika kuzaliwa mjini, kukulia mjini, kusomea mjini na sasa tunaishi mjini, wakati wengi wetu wamezaliwa vijijini, lugha yao kuu ya kwanza ni kilugha chao, kisha ndipo kije Kiswahili, lakini kwa sisi tulio zaliwa mjini, yaani "born town", Kiswahili ndio lugha yetu kuu ya kwanza, tunakimanya vilivyo, hivyo kunapotokea wajinga wajinga wasiojua vizuri lugha ya Kiswahili, hakuna ubaya, kujitolea kuwandeshea darasa la kuwafunza, ndicho ninachokifanya kwenye bandiko hili.

Wengi wasiojua Kiswahili barabara, wanadhani Ikulu ni eneo rasmi specific la makazi ya rais kuishi na kufanyia shughuli zake kama ilivyo Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, kumaanisha rais asipokuwa Ikulu ya Magogoni au Ikulu ya Chamwino, akiwa pengine popote, anakuwa hayuko kazini, hivyo huku kwenye mitandao ya kijamii sasa kuna kelele za watu wajinga kutaka kulazimisha lazima wamuone rais Magufuli na kumsikia akitokea ama Ikulu ya Magogoni, au Ikulu ya Chamwino!. Hawa ni wajinga na huu ni ujinga!.

Ikulu sio eneo lolote specific, bali eneo lolote la makazi rasmi ya rais ambapo anaweza kutimiza majukumu yake ya urais, eneo hilo hugeuka Ikulu. Hivyo kwa Tanzania tuna ikulu ya Magogoni, Ikulu ya Chamwino, Ikulu ndogo ya Lushoto na karibu kila mkoa kuna Ikulu ndogo kama ya Arusha, Tanga, Morogoro, Moshi, Iringa, etc, na mikao ambayo haina Ikulu ndogo, then kuna state lodge.

Enzi za Nyerere aliamua yeye hakai Ikulu bali aliishi Msasani, kama angeamua kufanyia kazi zozote za urais pale Msasani, then Msasani napo pangekuwa ni ikulu ndogo ya Msasani. Mwalimu Nyerere alikuwa anakwenda likizo Butiama, wakati Mwalimu Nyerere akiwa Butiama, angeamua kufanya majukumu yoyote ya kirais, wakati akiwa Butiama kama kuteua, kuapisha, etc, then hapo Butiama panakuwa ni Ikulu ya Butiama.

Kwa muda sasa rais Magufuli yuko kijijini kwake Chato, kwa vile wakati rais Magufuli yuko huko Chato kwa mapumziko matupu, lakini wakati huo huo, anaendelea kutimiza majukumu yake yote ya urais, then hapo Chato ni ikulu ya Chato, as long as mambo yote yanakwenda, hizi kelele za watu wajinga kutaka kumuona rais Magufuli akiwa ikulu ya Magogoni au ikulu ya Chamwino za nini?!. Ni kelele za ujinga tuu!. Watanzania wenzangu tusiwe wajinga!.

Lakini rais akifanya majukumu yake yoyote ya kiraisi akiwa eneo fulani, ikiwemo kuteua, kuapisha, kulihutubia taifa, kukutana na wakuu wa ulinzi na usalama au kuendesha cabinet, then eneo hilo linageuka ni Ikulu!. Hivyo japo Chato ni kijijini kwa rais, lakini wakati akiwa Chato akafanya jukumu lolote la ki rais eneo hilo inabadilika na kugeuka ni Ikulu. Hii ni Ikulu ya Chato!.


Paskali
Mh Rais wetu tokea juzi yupo kwao Kizimkazi kanishangaza baada ya kufikia nyumbani kwake au kwao yeye kafikia hotelini,, anatoka hotelini na msafara anaenda kwao, Je kwao haja jenga nyumba ya makazi au wazazi wake hawana makazi mpaka yeye alale hotelini kilo mita 7 kutoka kijijini kwao au ndo anatumia tozo zetu.
Mkuu jaap, your concern ni very genuine, na hii ni plus plus kwa Rais Samia as An African Woman, Tanzanian Woman na a Zanzibari lady, wanawake huwa hawajengi kwao, angekuwa ni mwingine, baada tuu ya yeye kuwa Rais wa JMT, tungeshuhudia ujenzi wa Ikulu ya Kizimkazi fasta!.

Kwa vile mimi ni miongoni wa waelimishaji umma humu, kwa kuwafunza kuhusu Ikulu ya Chato Kiswahili cha Kisiasa Kwa Watanzania: Ikulu sio Eneo Specific, ni Makazi ya Rais, Tuna Ikulu ya Magogoni, Chamwino, Sasa Hadi Ikulu ya Chato! na ili kurahisisha usafiri wa Chato, mimi Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!, sasa maadam kijiji alichozaliwa rais wetu ni Kizimkazi, jee kuna ubaya wowote tuanze maandalizi ya uhamasishaji wa ujenzi wa Ikulu ndogo ya Kizimkazi?. Sio lazima ijengwe kwa fedha za serikali, bali hatua ya kwanza ni tubadili baadhi ya mila na desturi za kibaguzi za asili za mtoto wa kike akiolewa, atajenga kwa mumewe kule alikoolewa!. Sasa binti huyu wa Kizimkazi ndiye rais wa JMT, apewe nafasi Watanzania tumjengee ili eneo hilo liwe ni eneo muhimu la kihistoria kijiji alipozaliwa rais wa kwanza mwanamke wa Tanzania. Rais wetu awe huru kwenda likizo ndefu Kizimkazi kama zile likizo za Chato.
Mnalionaje hili?.
P
 
Back
Top Bottom