Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,542
- 34,871
Hatuwezi kubadili hili kwa sababu nyepesi tu za kisasa.bali hatua ya kwanza ni tubadili baadhi ya mila na desturi za kibaguzi za asili za mtoto wa kike akiolewa, atajenga kwa mumewe kule alikoolewa
Alafu sio wote wanazuiliwa kujenga kwao, usikariri