Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,440
- Thread starter
- #21
Tutaweka jina lake baada ya muda mfupiHakimu ànaitwa Nani katoa hukumu hiyo
Tutaweka jina lake baada ya muda mfupiHakimu ànaitwa Nani katoa hukumu hiyo
Bado wanajipendekeza tu wapewe ujaji?Hakimu ànaitwa Nani katoa hukumu hiyo
Duuuh alipe tu 5m aendelee kulima bamia mbutu.
Kisutu: Yericko Nyerere ahukumiwa jela miaka mitatu au faini ya Mil 5 kwa uchochezi, alipa faini na kuachiwa huru
Taarifa kutoka Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu inasema kwamba Kada wa Chadema, Mkulima wa bamia, mfanyabiashara na Mtunzi mahiri wa vitabu vya ujasusi, Yerricko Nyerere ambaye ni mkazi wa Kigamboni, leo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu Jela ama kulipa faini ya Shilingi milioni 5 za...www.jamiiforums.com
Itapendeza tumjue. Sedition si rahisi kuithibitisha, amemuoneaTutaweka jina lake baada ya muda mfupi
Unafikiri Mbowe atatoa pesa?? Lema kakimbia madeni, Mnyika mbahili yule hata kumi hatoi..Yerrico sio mtu mwepesi hawezi kwenda jela kisa milioni tano
Sasa milioni 5 atashindwa kulipa we matagaNA BADO MTANYOOKA TU NA KINA PAMBALU WENU ASUBUHI TU MITANDAONI OOO NIKO KISUTU KUSIKILIZA HUKUMU ATASHINDA TU
UnatesekaAya pitisheni bakuli wajinga wachangie..
Bado yule anaitwa Hilda Newton.. Yule akamatwe apelekwe Segerea akabidhiwe Nyapara wa kiume amshughulikie wiki nzima. Akitoka hapo akili itamkaa sawa
Sina ndugu wala wazazi wajinga kiasi hicho.. Pole mtoto wa fukaraMbonà na mama yako ameshachanga kwa hiyo na yeye ni jinga
Mtoa mada mbona umefurahi sana?Taarifa kutoka Mahakama ya Hakimu Mkaazi Kisutu inasema kwamba Kada wa Chadema , Mkulima wa bamia , mfanyabiashara na Mtunzi mahiri wa vitabu vya ujasusi , Yerricko Nyerere ambaye ni mkazi wa Kigamboni , leo amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu Jela ama kulipa faini ya Shilingi milioni 5 za kitanzania kwa kosa la uchochezi .
Mungu mbariki Yerricko , Mungu ibariki Chadema .
====
Yericko Nyerere AHUKUMIWA KWENDA JELA.
Leo 23/03/2021mahakama ya hakimu mkazi kisutu, imemuhukumu, Yericko Nyerere kifungo cha miaka mitatu jela au faini ya shilingi milioni tano (Tsh.5,000,000/=) katika kesi ya Uchochezi No 188/2017 ambayo ilihusu maneno yake kufuatia maazimio ya Baraza Kuu Chadema 2017 kuhusu UKUTA, Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Muda huu Yericko Nyerere anapelekwa Gerezani Kama mfungwa.
Sina ndugu wala wazazi wajinga kiasi hicho.. Pole mtoto wa fukaraMbonà na mama yako ameshachanga kwa hiyo na yeye ni jinga
Nao wakigeuka kushangilia matatizo yenu mnakuwa wakali na kuwakamata, the same unavyoona raha hapa mbaya wako kupatwa na mabaya the same to wao wanavyojisikia raha nyinyi kupatwa na mabayaAya pitisheni bakuli wajinga wachangie..
Bado yule anaitwa Hilda Newton.. Yule akamatwe apelekwe Segerea akabidhiwe Nyapara wa kiume amshughulikie wiki nzima. Akitoka hapo akili itamkaa sawa
Tunafahamiana Sana humu, huwezi kujua. Ameshachanha tayariSina ndugu wala wazazi wajinga kiasi hicho.. Pole mtoto wa fukara
Fikara ni wewe katili Kama jiwe. Mfuate mlaleSina ndugu wala wazazi wajinga kiasi hicho.. Pole mtoto wa fukara
Mama yangu alishakuwa kiongozi wako mkubwa tu we pimbi hawezi poteza muda na Bawacha haoNasema mama yako ni chadema atachanga
Kafanya uchochezi gani?
Huu upepo wa kusingizia kesi za uchochezi kwa wananchi huru wenye mawazo tofauti wangeuzika pamoja na 'mwasisi' wake, la sivyo huyu Mama atabeba mizigo ya dhambi asiyostahili.