That which is crooked (ccm) cannot be made straight: and that which is wanting cannot be numbered.
 
Ni Asubuhi tulivu ya siku ya Alhamisi.

Kiongozi mkuu wa Upinzani Freeman Mbowe anatarajiwa kuletwa mahakamani Kisutu Leo katika Kesi ya kubambikizwa Ugaidi...
Niko njiani, Nina chupa ya maji tu , na nimeayaombea Saa nane usiku, Nina imani Sasa yamekua na nguvu kuliko yale ya vita vya majimaji, twenzetu wapenda haki, Mbowe sio Gaidi
 
Niko njiani, Nina chupa ya maji tu , na nimeayaombea Saa nane usiku, Nina imani Sasa yamekua na nguvu kuliko yale ya vita vya majimaji ,twenzetu wapenda haki, Mbowe sio Gaidi

Nimecheka sana haki🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mdude hajasamehewa ila mahakama haikuona ushahidi wa kumtia hatiani so alishinda kesi alokua amebambikiwa.mnapotosha sana
nHivi unamkumbuka mdude alijigamba vipi baada ya kusamehewa? Kiongozi gani anakubali maneno ya kejeli kama hayo. Midomo inawaponza
 
Kiongozi, Mdude alisamehewa na nani na alisamehewa kutoka katika hatia ipi? Kwa lugha hii, unamaanisha kwamba Mbowe anashikiliwa kama kisasi kwa maneno ya mdude? Utekelezaji wa azma hii ni kifungu namba ngapi cha katiba?

Naomba msiseme maneno mengine yanayoweza kuumba hasira kwa watu dhidi ya serikali. Hakuna serikali inaweza kuwa inakamata watu bila sababu, eti kwa kuwa kuna mtu fulani alisema maneno yasiyofaa. Kama mdude alinena vibaya, kwa nini hakuwajibishwa mwenyewe kw amakosa yake, badala yake atafutwe Mbowe? Unasema Mdude alisamehewa, alikuwa katiwa hatiani na chombo gani kwa kosa lipi na hukumu yake ilikuwa namna gani ambayo sasa akasamehewa?

Maneno mengine mnayoyaandika hapa, yanadhalilisha serikali yetu. Siamini serikali yetu inaweza kuwa na tabia za kiwango cha chini namna hiyo. Serikali ina mammbo mengi ya maana ya kufanya, na hatuna serikali iliyo inferior na insecure kiasi hicho. Hiki ni kiwango chako cha kufikiri na kutenda na ndiyo sababu huwezi kuwa kiongozi wa serikali wewe. Unatia aibu.
An absolutely apt response! Very good.
 
Siasa za chadema naziona mitandaoni sana.

Makamu mwenyekiti anatoa statement mtandaoni kuwataka wananchi waandamane, jibu akalipata.

Haya mambo haya.
 
Halafu huyo Mbowe wao alipokuwa Mwanza akamtukana DC wa Ilemela kwamba ni mjinga mjinga tu, halafu mtu huyo unayemtukana unatarajia akupe ulinzi, akunyenyekee, wewe nani?
Hata na wewe ni mjingamjinga tu Mana unachoandika ni Cha kijinga,kesi za kipuuzi ndo Mana nchi Haina hata MAENDELEO Mana viongozi wenu ni waonevu
 
Back
Top Bottom