Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,396
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemkuta na kesi ya kujibu aliekuwa Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa (TBC), Tido Mhando katika kesi yake ya matumizi mabaya ya madaraka
Tido anatuhumiwa pia kuisababishia serikali hasara ya Milioni 887.1 ambapo ataanza kujitetea September 20.
Tido anatuhumiwa pia kuisababishia serikali hasara ya Milioni 887.1 ambapo ataanza kujitetea September 20.