Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 752
- 3,096
Erick Kabendera mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi anapandishwa kizimbani mda huu, huku bado afya yake ikionekana Kutetereka.
------
Kabendera aliyefika Mahakamani hapo akiwa bado anatembea kwa kuchechemea amesema kuwa jana alipelekwa hospitali kupimwa afya hospitali ya amana ikiwa ni kufanyiwa vipimo vya x-ray na majibu ya awali yameonesha ana matatizo ya mgongo."
Aidha, ameongeza kuwa amefanyiwa vipimo vingine vinavyoweza kuwa tayari ifikapo mwisho wa wiki hii huku akibaisha kuwa bado anapata maumivu makali ya mgongo
Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 01, 2019 baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa upelelezi haujakamilika lakini upo katika hatua nzuri.
------
Kabendera aliyefika Mahakamani hapo akiwa bado anatembea kwa kuchechemea amesema kuwa jana alipelekwa hospitali kupimwa afya hospitali ya amana ikiwa ni kufanyiwa vipimo vya x-ray na majibu ya awali yameonesha ana matatizo ya mgongo."
Aidha, ameongeza kuwa amefanyiwa vipimo vingine vinavyoweza kuwa tayari ifikapo mwisho wa wiki hii huku akibaisha kuwa bado anapata maumivu makali ya mgongo
Kesi imeahirishwa hadi Oktoba 01, 2019 baada ya upande wa Jamhuri kudai kuwa upelelezi haujakamilika lakini upo katika hatua nzuri.