mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Mwandishi Erick Kabendera afika mahamaka ya Kisutu. Afya yake kizungumkuti huku akitembea kwa shida,wakati Kabendera akiwa anawasili Mahakamani alionekana kutokua vizuri kiafya kwani alikua akichechemea.
--------
Akiwa Mahakama, Kabendera alipata nafasi ya kuelezea maumivu anayosikia ambapo akijieleza alidai hali ya kushindwa kupumua usiku bado inaendelea na siku nane zilizopita alisikia maumivu makali mguu wa kulia, maumivu makali katika mfupa ndani ya paja hali inayomfanya akose usingizi.
''Hakuna vifaa ila walinipima damu wakanichoma sindano tatu na tatizo likapotea kwa muda, daktari akanishauri kufanya mazoezi nikapata nafuu lakini siku 8 zilizopita nilipata maumivu ya paja na mfupa una maumivu makali,"
Kesi inayomkabili Mwanahabari Erick Kabendera imeahirishwa hadi Septemba 18, Hakimu Agustine Rwizile amemuagiza Mtuhumiwa kuja kuieleza mahakama kile kitakachoendelea kuhusu afya yake.
PIA SOMA
--------
Akiwa Mahakama, Kabendera alipata nafasi ya kuelezea maumivu anayosikia ambapo akijieleza alidai hali ya kushindwa kupumua usiku bado inaendelea na siku nane zilizopita alisikia maumivu makali mguu wa kulia, maumivu makali katika mfupa ndani ya paja hali inayomfanya akose usingizi.
''Hakuna vifaa ila walinipima damu wakanichoma sindano tatu na tatizo likapotea kwa muda, daktari akanishauri kufanya mazoezi nikapata nafuu lakini siku 8 zilizopita nilipata maumivu ya paja na mfupa una maumivu makali,"
Kesi inayomkabili Mwanahabari Erick Kabendera imeahirishwa hadi Septemba 18, Hakimu Agustine Rwizile amemuagiza Mtuhumiwa kuja kuieleza mahakama kile kitakachoendelea kuhusu afya yake.
PIA SOMA
Kesi ya Erick Kabendera yapigwa kalenda tena. Afya yake yatajwa kuzorota
Kesi ya Uhujumu Uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari za Kichunguzi, Erick Kabendera imeahirishwa tena katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi Septemba 12, 2019 Kesi hiyo imeahirisha kutokana na Mawakili wa Jamhuri kudai upelelezi wa kesi hiyo yenye makosa ya Uhujumu Uchumi, Utakatishaji...
www.jamiiforums.com
Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano
Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia. Namba ya gari lililomchukua imetajwa ni T746DFS. Erick Kabendera, a...
www.jamiiforums.com
Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake
Kamanda Mambosasa anasema: Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii Baada...
www.jamiiforums.com
Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu
Hawa watu are so stupid Kukwepa kodi, polisi ndiyo wanakwenda kumkamata kwa kuvizia na kuzima simu zake Hopeless Kabisa hii mikitu Tena wakiwa na mitutu zaidi ya saba wakati kamtu kenyewe ni kamoja tena hakana silaha yoyote. Halafu kesi si ilikuwa uhamiaji? Mara hii imeenda polisi tena kwa...
www.jamiiforums.com
Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika
Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha...
www.jamiiforums.com