Kisutu: Mahakama yawafutia Mashtaka Harry Kitilya na wenzake, Polisi yawakamata tena

Kwa akili yako fupi mburula. FYI Watanzania wote wanaopinga maovu ya huyo dikteta AKA dukuzi kichaa jiwe wanatumia haki yao iliyomo ndani ya katiba. Punguani weye subiri huyo kichaa ale mkeo labda ndiyo labda utatia akili kichwani.

Hivi wewe jamaa jiwe alikugongea mkeo nini?Maana kwa hizi chuki kila post ni lzm umwage povu dhidi yake.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Kwa akili yako fupi mburula. FYI Watanzania wote wanaopinga maovu ya huyo dikteta AKA dukuzi kichaa jiwe wanatumia haki yao iliyomo ndani ya katiba. Punguani weye subiri huyo kichaa ale mkeo labda ndiyo labda utatia akili kichwani.
Huu ndio uhuru wa kujieleza?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Hivi wewe jamaa jiwe alikugongea mkeo nini?Maana kwa hizi chuki kila post ni lzm umwage povu dhidi yake.

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Ha ha haa! Ugonjwa wa Kukariri ni mbaya .sana , Mungu wa huruma awasamehe bure
 
Africa hio lengo ni kukukomoa,ili hata kama una biashara zako nje zife ili ukitoka uwe masikini. Wenzetu hawana mambo haya wanaangalia mchango wako ktk kodi ngapi watakosa ukiwa ndani thus wakikuhukumu ni kweli umetenda kosa.Africa waweza singiziwa na ukafia jela. Yote ni mambo yaifanyayo Africa kulaanika

Sent using Jamii Forums mobile app
Uonevu sana kwakweli
 
Ili kukomesha hii hali ya kuwapotezea watu muda wao kwa kesi zisizo na kichwa wala miguu zitungwe sheria za kuwalipa fidia watuhumiwa waliopotezewa muda wao na usumbufu wa kukaa rumande muda mrefu. Hii itasaidia sana kupunguza kesi za hovyo
 
Mungu awajalie jmn..
Siku moja nliona ndugu zake binti wakitoka kumuona Segerea wako hoi wanaomboleza
 
Shule ya msingi nilisoma na kaka yake Sioi, yeye alikuwa nyuma yetu mwaka mmoja. Huwa nikimcheki pichani akiwa amekaa mahakamani, najikuta nikisikitika tu.
 
Back
Top Bottom