Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Huyo akatafute kazi nyingine asilete ujuaji mwisho akalala mlupango na Mahakama imeshaitupilia mbali kesi yake!
Wee ni poyoyo tu unayeshabikia upumbavu huu wa ukiukwaji wa sheria na taratibu za Utawals bora!
Hivi huyu Mhe.Mwita angelikuwa ni wa CCM tungeshuhudia huu upumbaf unaoendelea hapa? Makosa yote ni maigizo tu ili kujustify huu uhuni!
Jiulize kwanini Tume ya uchunguzi wa tuhuma dhidi ya Mstahiki Meya Mwita imeundwa na RC Paul Makonda…!