Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Mkuu,
Hapana shaka Kinachoendelea kuhusu hili Sakata la kumung'oa Meya Mwita kwenye Kiti ni maelekezo toka Juu a.k.a Jiwe!
Mawaziri wote Tamisemi ni mapoyoyo wasiojielewa. Jafo ndiye aliyevuruga Uchaguzi wa SM na yule Mlevi Waitara malaya wa kisiasa aliehama toka CHADEMA kwa kuhongwa hawezi kusuluhisha mgogoro kama huu!
Hapana shaka Kinachoendelea kuhusu hili Sakata la kumung'oa Meya Mwita kwenye Kiti ni maelekezo toka Juu a.k.a Jiwe!
Mawaziri wote Tamisemi ni mapoyoyo wasiojielewa. Jafo ndiye aliyevuruga Uchaguzi wa SM na yule Mlevi Waitara malaya wa kisiasa aliehama toka CHADEMA kwa kuhongwa hawezi kusuluhisha mgogoro kama huu!