Jiwe la kudumu
JF-Expert Member
- Aug 17, 2018
- 301
- 245
pantheraleo, Jamal Malinzi ni mmoja ya wakurugenzi wa DJB group hawezi kushindwa kulipa faini ya laki tano, mashitaka waliyopewa na muda waliokaa ndani na hatia waliyokutwa nayo ilikuwa kesi ya miezi miwili tu