Kesi ya kipumbavu kuvamia gereza? Kumchania afande sare?Mama samia aliishatoa muelekeo wa kuachana na kesi zote za kipumbavu zilizoanzishwa na utawala wa hovyo uliopita. kwa nini utekelezaji hauonekani?
Unajua sheria we pumbavu.Kama wewe unajua zaidi si ungeenda kuwa shahidi
Sijui we pumbavuUnajua sheria we pumbavu.
Kaa kimya.Sijui we pumbavu
Joyce huwa unawaza tumbo lako tu.Comment ya wiki.
Anza weweKaa kimya.
Pumbavu mkubwa.Anza wewe
Pumbavu mkubwaPumbavu mkubwa.
Umeolewa?Pumbavu mkubwa
Chanzo cha hiyo kesi ni kesi iliyokuwa na hopeless political motives za marehemu. mama kaishasema hazitaki.Kesi ya kipumbavu kuvamia gereza? Kumchania afande sare?
Ulimuelewa mama alimaanisha nini?
Ahaaa, kwa kuwa kulikuwa na hopeless political motives ndio watu wavamie gereza na kufanya vurugu?Chanzo cha hiyo kesi ni kesi iliyokuwa na hopeless political motives za marehemu. mama kaishasema hazitaki.
ameiona hii tu! Acha zako hizo za abunuwasiMama samia aliishatoa muelekeo wa kuachana na kesi zote za kipumbavu zilizoanzishwa na utawala wa hovyo uliopita. kwa nini utekelezaji hauonekani?
Mkuu kama adi leo unaamini kwamba ni kweli walivunja sheria na wameachiwa huru itabidi ufikirie tena. Gerezani ni mahali penye ulinzi mkali haiwezekani kikundi kidogo kama hicho wakavunje geti la gereza mbele ya askari wenye silaha, tena wavunjaji wenyewe hawakuwa hata na koleo mkononi. Hayo yalikuwa maigizo yenye malengo maalum na lengo limesha timia wenye macho wameona na wenye masikio wamesikia.Serikali yenye maadili hulinda na kuitetea katiba na huhakikisha kuwa hakuna mtu anaekuwa juu ya sheria. Hii ina maana kuwa mtu akivunja sheria anapelekwa mahakamani na kisha anapata haki yake.
Watu walifanya vurugu na kuingia eneo la gereza lisiloruhusiwa. Ushahidi upo na mbaya zaidi walimchania sare askari magereza. Mashahidi wakuu ni haohao maaskari magereza.
Kwa nini msipeleke mashahidi ili waliovunja sheria wapate haki zao?
Au sababu mmewapa ubunge wa kwenye sinia ndio maana mnawabeba hata wakivunja sheria?
Huku ni kukosa maadili ambako hakufai kabisa.
Mkuu kuna mtu alitolewa gerezani usiku wa manane kwenda kuwa mbunge bila order ya mahakama, itoshe tu kuelewa hivyo.Serikali yenye maadili hulinda na kuitetea katiba na huhakikisha kuwa hakuna mtu anaekuwa juu ya sheria. Hii ina maana kuwa mtu akivunja sheria anapelekwa mahakamani na kisha anapata haki yake.
Watu walifanya vurugu na kuingia eneo la gereza lisiloruhusiwa. Ushahidi upo na mbaya zaidi walimchania sare askari magereza. Mashahidi wakuu ni haohao maaskari magereza.
Kwa nini msipeleke mashahidi ili waliovunja sheria wapate haki zao?
Au sababu mmewapa ubunge wa kwenye sinia ndio maana mnawabeba hata wakivunja sheria?
Huku ni kukosa maadili ambako hakufai kabisa.
Pamoja na hayo Halima asingeunga mkono juhudi kesi ingepigwa mpk mwishoChanzo cha hiyo kesi ni kesi iliyokuwa na hopeless political motives za marehemu. mama kaishasema hazitaki.
Ni bahati tu hatukuwahi vamia msafala wake tuupopoe mawe.Ahaaa, kwa kuwa kulikuwa na hopeless political motives ndio watu wavamie gereza na kufanya vurugu?