Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Duh!
hawa ndio wamevunja GEREZA?
Tukiwaambia watu Jiwe alikuwa kichaa, mataga walikuwa wanabishaDah, Jiwe bwana! Eti kuvunja gereza!
Nchi imepitia hali tata sana miaka mitano iliyopita!
Inanikumbusha ile issue ya KUIBA KIFARU CHA KIVITA.Dah, Jiwe bwana! Eti kuvunja gereza!
Nchi imepitia hali tata sana miaka mitano iliyopita!
Mi inanikumbusha issuei ya Shujaa kufanya ambush na kufanikiwa kuvidaka vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe pale bandarini!!Inanikumbusha ile issue ya KUIBA KIFARU CHA KIVITA.
Dah! Mambo ya ajabu kabisa, sasa kifaru watu wakakifanyie nini? Au kukata scrapper?Inanikumbusha ile issue ya KUIBA KIFARU CHA KIVITA.
Nimeamini mtu mwenye akili nyingi sana na kichaa wametenganishwa na kitu kidogo sana.Tukiwaambia watu Jiwe alikuwa kichaa, mataga walikuwa wanabisha
Ushawahi kuona mtu anaokota vichwa vya TRENI bandarini? Eti haijulikani nani kaviagiza wakati ubavuni tayari vina nembo ya TRL...Nimeamini mtu mwenye akili nyingi sana na kichaa wametenganishwa na kitu kidogo sana.
Ungekuwa Ujinga Mahakama ingewafunga Mjinga ni HayatiWasirudie tena huo ujinga
Mwendazake alikuwa mkuu wa ibilisiMungu atuepushe kabisa na balaa la hivi tena.
Mi inanikumbusha issuei ya Shujaa kufanya ambush na kufanikiwa kuvidaka vichwa vya treni visivyokuwa na mwenyewe pale bandarini!!
Kina Luge na Seth waliisababishia nchi migao ya umeme isiyo ya msingi, kwaiyo acha sheria ifuate mkondo,Afute na ya akina Ruge
Ha ha ha haaaaa!! Nimekumbuka na hii! Dah, Meko ameandika historian mpya kabisa kwenye nchi yetu,kwamba Yale makinikia yalizuiwa pale bandarini yalikua yanatosha kununua Noah kwa watanzania wote zaidi ya Mil.60Ushawahi kuona mtu anaokota vichwa vya TRENI bandarini? Eti haijulikani nani kaviagiza wakati ubavuni tayari vina nembo ya TRL...
Meko bhana bonge la msanii feki...
View attachment 1774093
Mwendazake alikuwa mkuu wa ibilisi
Kesi ya kubambikiwa!!! Sasa kwa nini mama asipewe support!!!! We love you madam president!!!!
Sasa anawahenyesha malaika huko.Mwendazake alikuwa mkuu wa ibilisi
Hawajawai kuvunja gereza hizo zilikua siasa chafu.Wasirudie tena huo ujinga
Meko bhana.... eti ukiyachenjua yale makinikia malori 37 ya tani saba yangejaa....Ha ha ha haaaaa!! Nimekumbuka na hii! Dah, Meko ameandika historian mpya kabisa kwenye nchi yetu,kwamba Yale makinikia yalizuiwa pale bandarini yalikua yanatosha kununua Noah kwa watanzania wote zaidi ya Mil.60