Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,991
- 103,374
Haya ya kubambikwa kesi bado hayajathibitishwa na mahakama.
Ni mahakama ndio itatafsiri sheria kuonesha kama kabambikwa au ana hatia
Hakuna mahakama hapo bali kuna Makada wa ccm ndani ya Muhimili wa mahakama, wanaotumika kukomoa wakosoaji.