Oh yamekuwa hayo!Huna hoja. JIfunze kutokurukia mambo yanayokuzidi ufahamu. tweenty4seven nty4
Oh yamekuwa hayo!Huna hoja. JIfunze kutokurukia mambo yanayokuzidi ufahamu. tweenty4seven nty4
Keshaua nani?Fulu udikteta!
Samia anaua huku akicheka.
Unaonaje mama alivyo siyo dhalimu.,!?
Anawakomesha mataga, sukuma gang na kufuta legacy
Anafungua nchi
Anamwaga hela mtaani tuwe tunaziokota!
Nani Sasa kaongelea mambonya viwembe?
Usishabikie mateso ya mwingine kwa kuwa yanaweza kukupata pia.
Yaani wewe unaamini kabisa kuna mtu anaweza akaenda kumyoa mamam na kiwembe?
Itakuwa mkitafunwa pamoja.Hao mashekhe waliokuwa wanatafunwa kule Keko miaka 8 walikuwa Ni wakristo we mbuzi kweli
Misitu iko mingi Sana hapa Tz acheni maneno nendeni kwa vitendoKama chama kimeruhusiwa kumiliki jeshi la polisi kwa nini Chadema wasiwe na polisi wao?
CCM hawawezi kuondoka kwa kubembelezana .. lazima watu waingie msituni wapate mafunzo kama ilivyokuwa kumuondoa kaburu ndio inavyotakiwa kumuondoa ccm kwa sababu wanapenda sana faulu na rafu.
Kama kila mmoja alitoka nyumbani kivyake ilikuwaje wakafika na kuanxa kuimba wimbo mmoja wenye maneno yaleyale na wakiwa na mabango? Yenye ujumbe uleule?
Waligeuza mahakamani kituo Chao Cha kukutania kuendesha siasa
Tatizo la manyumbu, hamjui kama Samia ni mwakilishi wa Taasisi ya Urais, sasa unapomtuhumu Iron Lady, utakuwa ni mbwege wa headFulu udikteta!
Samia anaua huku akicheka.
Misituni ndiko vikosi vya JWTZ vina ofisi zao au unaongelea misitu ya Congo?Misitu iko mingi Sana hapa Tz acheni maneno nendeni kwa vitendo
Huna akili kweli amakweli halali kabisa Ccm itumie polisi kama uvccm ndo wewe! aibuMambo ya usalama wa ndani ya nchi yatabaki kuwa ya nchi.
Tanzania is a sovereign coutry...
Hii nchi watu wenye msimamo Ni waislamu lakini Hawa CHADEMA ni maigizo wanayo tu.poleni CHADEMA
Watakulipa wanaokutumikisha mimi sina cha kukulipaUnataka kunilipa.?
Labda kwenye msitu wa mamako pale chini ulipotokea.Kama chama kimeruhusiwa kumiliki jeshi la polisi kwa nini Chadema wasiwe na polisi wao?
CCM hawawezi kuondoka kwa kubembelezana .. lazima watu waingie msituni wapate mafunzo kama ilivyokuwa kumuondoa kaburu ndio inavyotakiwa kumuondoa ccm kwa sababu wanapenda sana faulu na rafu.
Hakuna wa kunitumikishaWatakulipa wanaokutumikisha mimi sina cha kukulipa
Ndyo waende hukohuko wakapimane nguvu na jwtz mshindi aje kuongoza nchiMisituni ndiko vikosi vya JWTZ vina ofisi zao au unaongelea misitu ya Congo?