MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 4,839
- 15,132
Moja ya watu waliofurahia kifo cha Hayati Magufuli ni huyu tapeli sugu Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Chuma kingelikua hai huyu alikua anaozea Jela.
Dola 75000 inarudishwa kwanza. Halaf 1.5m ni fain ya mahakama. Nadhani imekaa vizuri tu.Dola za kimarekani elfu 75 kwa milioni moja nusu, bado natafuta relation.
hivi msofe yupo?Moja ya watu waliofurahia kifo cha Hayati Magufuli ni huyu tapeli sugu Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Chuma kingelikua hai huyu alikua anaozea Jela.
yupo anaendeleza mapambano. Tanzania: Papa Msofe, Four Others Walk Free As DPP Drops Chargeshivi msofe yupo?
Huko aliko afe tenaMoja ya watu waliofurahia kifo cha Hayati Magufuli ni huyu tapeli sugu Ndama Mutoto ya Ng'ombe. Chuma kingelikua hai huyu alikua anaozea Jela.
Mkuu mbona hatuna September 31 na November 31. Wewe unatumia kalenda ya sayari ipi?MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemhukumu mfanyabiashara Ndama Hussein na Mkemia Yusuph Yusuph, kulipa faini ya Tsh. Milioni 1.5 au kwenda jela miaka mitano baada ya kuwatia hatiani kwa kosa la kujipatia Dola za Marekani 75,000 kwa njia ya udanganyifu.
Kiasi hicho walijipatia kutoka kwa raia ya Botswan Emmanuel Motilhathedi baada ya kumdanganya kwamba wana kampuni ya dhahabu.
Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu Mkazi Mfawidhi Godfrey Isaya, baada ya washitakiwa hao kuandika barua ya kukiri kosa na kisha kuingia makubaliano na Mkurugenzi ya Mashtaka nchini( DPP).
Kabla ya kutolewa kwa adhabu hiyo Wakili wa Serikali Mwandamizi, Ladislaus Komanya, alisoma maelezo ya makubaliano hayo kwamba fidia inakwenda katika akaunti ya mlalamikaji ambaye alitapelewa.
Alidai katika makubaliano tayari mlalamikaji ameshalipwa kiasi cha Dola za Marekani 50,000 katika akaunti yake na kiasi kilichobakia kinalipwa ndani ya miezi minne kuanzia sasa.
Alifafanua kuwa kuanzia Septemba 31, mwaka huu washitakiwa wanatakiwa kulipa Dola 12,500 na kumalizika kiasi kilichobakia Novemba 31 mwaka huu katika akaunti yake.
Hata hivyo washitakiwa walifanikiwa kulipa faini hiyo na kukwepa adhabu ya jela.
Wakili Komanya, kutokana na ushahidi ulioko washitakiwa walitekeleza kwa pamoja genge la uharifu kujihusisha na biashara ya kuuza madini feki kwa raia wa Botswana ambapo waliweza kumlaghai kuwa Kampuni yao inajihusisha na madini.
Baada ya mawasiliano kwa njia ya simu na barua pepe na raia huyo kabla ya kufika nchini Januari 2021 akishirikiana nao kwa hatua mbalimbali waliwapatia Dola za Marekani 150,000 ili wampatie shehena ya dhahabu kilogramu 500.
Waliendelea kumshawishi mlalamikaji huyo kwamba anatakiwa kutoa fedha kwa ajili ya tozo la vibali ndipo alipowashtukia na kufanya ufuatiliaji kwa wahusika wa madini na kujiridhisha kwamba madini hayo ni feki.
Hakimu mil 50, mahakama mil 1.5.....
Kazi iendelee
Anatuongopea hadi sie kina "sina kitu"?Inabidi uwe makini ndama anarudi mtaani huyu ni pedeshee wa kiwango ana utapeli wa hali ya juu asije akakuongopea ana kontena la madini.
Anatuongopea hadi sie kina "sina kitu"?
Hahahah Eti GOAThapana huyu madili yake hasa watu wazito.au akiwa anawaongepea watz wenzake ni mambo ya udalali wa nyumba na nyumba zenyewe ni maeneo ya kwa wakubwa.ukae tahadhari tu Ndama ni G.O.A.T kwa dar.tena kasi watakayorudi nayo nina wasiwasi itakuwa ya 5G
We jamaa unauma na kupuliza 😂😂Kuna tetesi ndama ndiye CONTROLA
Anatuongopea hadi sie kina "sina kitu"?
Ni mtz kweli? Sura yake kama za majirani kule kwa toluMwenyewe amefurahi anarudi sasa wengine wote wakasome tu.View attachment 1878936
Ni mtz kweli? Sura yake kama za majirani kule kwa tolu