Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,675
- 26,992
Watu wanadhani hii kesi ni simple, na kuna yule bodyguard wa Mbowe aliekamatwa na kupewa tuhuma za ugaidi enzi za JPM,mpaka leo yupo rumande na Mbowe hajawahi kuzingumza chochote.Dereva wa Mbowe alivyokamatwa ndio kaongea yote haya
Mbowe alikaa kimya muda wote dereva wake yupo ndani kwa nini hakuwaeleza nyumbu hii habari?