KISUTU, DAR: Kesi namba 457 (Jamhuri dhidi ya JamiiForums) yaendelea - Shahidi wa Tatu atoa ushahidi wake

Badala ya kushughulikia na Mshukiwa, wao wanashughulika na Whistle Blowers, itafika kipindi hata watu wakiona jambo basi wanashindwa kulifichua hadharani maana wenye nchi yao watataka kupata undani wa mfichua uozo badala ya kuchunguza huo uozo wenyewe

kwa kweli ni aibu
 
Back
Top Bottom