Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,031
Badala ya kushughulikia na Mshukiwa, wao wanashughulika na Whistle Blowers, itafika kipindi hata watu wakiona jambo basi wanashindwa kulifichua hadharani maana wenye nchi yao watataka kupata undani wa mfichua uozo badala ya kuchunguza huo uozo wenyewe
kwa kweli ni aibu