Katika siku ninazo pata nazo shida kwenye moyo wangu.ni Leo na siku ya hukumu ya viongozi wa chadema.mungu tupo moyo na imani juu yako.wasije toa hukumu ya kulifungia jf Kwa miezi kadhaa kisa uchaguzi wa chadema usijulikane.washindwe kabisa hawa maibilisiKesho hukumu saa ngapi ,kwa tuliopo city center tujitahidi kuwepo kuwatia moyo vijana wetu wakina max na mushi
Japo naamini tutashinda
Mimi leo nilifika Kisutu, lakini kwasababu kila siku Mkuu Roving Journalist ndie huwa anatupa update, sii busara kwa mtu wa kuja kutoa update, mtu kala ng'ombe mzima, kabakiza mkia, kwa nini asimalizie?.Jamani case imefikia wapi? Tujuzane wengine tupo mikoani huko tupo nanyi kiroho
No, tutashinda kwa kumtegemea YEYE atutiaye nguvu.Maxence Melo wana JamiiForums (Kindakindaki) tupo nyuma yako, kwa hali na mali, kwa dua na ibada.
Tutashinda hata kwa kutumia waganga, walozi, wachawi, masheikh, mapadri na budha.
#JF Daima
Amen.Shetani hajawahi kumshinda Mungu
Mmmh hivi kusomewa tu hukumu ndio tarehe ndefu hivyo, ingawa najua mwisho wa mwaka na mwanzo kuna kuwa na mambo mengine ya kimahakama. Ila hii ni kuendelea kuumiza nafsi ya mtu bila sababuKesi imeahirishwa tena hadi Januari 6
Bado wiki moja tu mahakama isitishe shughuli zake hadi mwakani.Mmmh hivi kusomewa tu hukumu ndio tarehe ndefu hivyo, ingawa najua mwisho wa mwaka na mwanzo kuna kuwa na mambo mengine ya kimahakama. Ila hii ni kuendelea kuumiza nafsi ya mtu bila sababu