Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Alishindwa kuomba radhi kwenye makanikia ,tetemeko la kagera na sasa korosho .Jiwe Mungu anamuona bado anatesa watu maisha magumu sana ambayo ameyaleta kwa watanzania Mkapa ,Mwinyi na kikwete mungu anawaona kwa kuwabambikizia shetani watanzania .