Kisingizio cha CORONA: Mume alazwa na Jeneza lenye mwili wa mke wake nje ya kituo cha Polisi

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,256
6,893
Katika Hali ya kustaajabisha, Polisi wa Kenya wamemlazimisha mtu anayesadikiwa kuwa na mume wa marehemu kulala nje ya kituo cha polisi na mwili wa Mke wake ukiwa kwenye jeneza. Tukio Hilo lilitokea baada ya Polisi kuzuia msafara wa mazishi uliokuwa unatokea Malindi.

Mwanaume Huyo anasema ' Licha ya kuwa na nyaraka zote zinazotuhusu kuzika ikiwemo kufanya vipimo vya Covid 19 walipofika mpakani mwa Meru-Tharaka usiku wa tarehe 28 Mei Polisi walisimamisha Gari na kuwaamuru watu wote kurudi walipotoka, Kisha kumwamuru mume wa marehemu kushuka na kupanda kwenye Gari la polisi. Polisi pia walishusha jeneza na kuliweka pembezoni mwa barabara.

Meru man forced to spend cold night at a police station with his late wife's ...


'Walituchukua na kutupeleka kituo Cha polisi huku wakinitisha kwamba iwapo sitatii maagizo Basi wataniweka Caranteen ya lazima siku 14'

'Nililala nje ya kituo Cha polisi, huku baridi na mvua ikininyeshea'
'Nilijitahidi kuwasishi polisi wanisaidie kunirudisha nyumbani umbali wa km 5 toka kituo Cha polisi lakini walikataa'

========


Meru man forced to spend cold night at a police station with his late wife's body

A Kenyan who lost his wife to cancer last week was left stranded by the roadside watching over his late wife’s remains after a run-in with the police.

Speaking to Citizen Digital, Charles Mwenda who hails from Tigania, Meru said he had travelled from Malindi on Wednesday, May 27.

He was in the company of several family members who were headed to Meru for his late wife’s funeral.
Prior to making the journey home, Mwenda claims he had obtained all the necessary documents and had even undergone a coronavirus test just to be sure.

With the requisite documents in hand, Mwenda crossed police barriers from Malindi until he got to the Meru-Tharaka Nithi border.

At around 11pm on Thursday, May 28 Mwenda says the car they were in was stopped by police officers manning the blockade.

The officers proceeded to order everyone out of the car and demanded that everyone apart from the decedent’s husband returns to Malindi.

“We were at the final police barrier at Meru-Tharaka Nithi border at a place called Keeria, where we were stopped by police and forced out of the car.what I saw there was so inhuman, upon a lengthy discussion all my family and friends were forced back to malindi,” Mwendwa says.

After the incident, Mwenda who was left with his late wife’s body was ushered into a waiting police vehicle. He claims that police officers threatened to cart him off to a 14-day quarantine if he did not comply.

The officers then dropped him off at the Kanjai police station. A long distance from his home. His late wife’s body was also off-loaded from the police vehicle and placed by the roadside.

“I pleaded with the police to help me get the body to my home which is 5km from the police station, but they refused,” he adds.

That day and the entire night, he spent it all in the cold, with the casket containing his wife’s remains keeping him company.

When it started raining, Mwenda covered the coffin with a piece of tarp before pulling it under a lorry that had been packed at the station.

The next day, he was picked by a friend at around 6am and managed to get home to give his late wife her delayed, dignified send off albeit without his three children, family and friends.

Source: Citizentv.co.ke
 
Back
Top Bottom