deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau, kama nilivyoeleza hapo juu nampango wa kununua kisimbuzi sasa naomba anaejua kipi kina himili mazingira nilioeleza hapo juu msaada wadau.
Ko issue kwako ni hali ya hewa bila kujali unapata channels zipiHabari wadau, kama nilivyoeleza hapo juu nampango wa kununua kisimbuzi sasa naomba anaejua kipi kina himili mazingira nilioeleza hapo juu msaada wadau.
Ndiyo nisaidie hilo nataka ninunue sio mjuzi sanaKo issue kwako ni hali ya hewa bila kujali unapata channels zipi
OK,kwa kati ya hivi vyenye local Chanel kipi nafuu?Zuku
AzamHabari wadau, kama nilivyoeleza hapo juu nampango wa kununua kisimbuzi sasa naomba anaejua kipi kina himili mazingira nilioeleza hapo juu msaada wadau.
Azam
startime.ila bora ununur Dstv.19elfu channel zaidi ya 60.ila hakina local channel.ila zitarudi tu baadae.OK,kwa kati ya hivi vyenye local Chanel kipi nafuu?
startime.ila bora ununur Dstv.19elfu channel zaidi ya 60.ila hakina local channel.ila zitarudi tu baadae.
Ila startime 10000 unapata 30+chanel
Nunua Kisimbuzi cha mediacom au chochote Cha FTA chenye Uwezo Wa Mp4, Tafuta Dish Ndogo Funga Kula Maisha.
Kinacho sababisha matatizo sio Dish Ndogo Ila Ni Mfumo Wa Upokeaji Wa Matangazo, ndio Maana Kuna Tofauti Kati Ya Dstv Na Azam.Dish dogo Ku band kwenye mvua na mawingu ni shida broo waulize wadau
Kinacho sababisha matatizo sio Dish Ndogo Ila Ni Mfumo Wa Upokeaji Wa Matangazo, ndio Maana Kuna Tofauti Kati Ya Dstv Na Azam.
Huwa kinakata kama wingu ni kubwa sana na mvua nyingi sana,ila azam ndo hovyo kawingu kadogo tu kinakataStar times aikati signal kwenye mvua broo kweli?
Haswaah,lia kwanini FTA ya cband kwenye mvua iko vizuri sana watalaamu mnisaidie tofauti nini hasa?Huwa kinakata kama wingu ni kubwa sana na mvua nyingi sana,ila azam ndo hovyo kawingu kadogo tu kinakata
Umeshaa anza sasaa mara local channelOK,kwa kati ya hivi vyenye local Chanel kipi nafuu?
Umeshaa anza sasaa mara local channel
Ndo maana nimekuuliza unataka king'amuzi bila kujali channel zake???
Ko shida yako mvua ikinyesha kiwe kinaonyesha tuuu
Ukishajua preference yako ni nini katia ya Local channel au Weather condition utaniambia na mm nitoe mchango wanguSawa,nimekupata lengo nikupata utaalamu nifanye maamuzi
Hoja kuu ni kisimbuzi cha local chenye uvumilia hali posipo kukata signal Mara kwa maraUkishajua preference yako ni nini katia ya Local channel au Weather condition utaniambia na mm nitoe mchango wangu
Sawa. Unavijua visimbuzi vya local channels vya dish??Hoja kuu ni kisimbuzi cha local chenye uvumilia hali posipo kukata signal Mara kwa mara