Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,631
- 39,613
siku hizi kuna trial za 4k/UHD kwa DVB-T2, hivyo sioni Tabu kushindwa HD ya kawaida ambayo hata Full HD haijafikaHalafu bei ni sawa na kifurushi cha Dish, bila shaka wanakiamini kwa ubora wa HD