Kisimbuzi cha dish na kisimbuzi cha Antena

Labda niwafumbue macho kwa mambo machache.

1. Mawasiliano kwa njia ya Satellite ni ghali sana hasa ukizingatia satellite ni za kukodi. kwa hiyo ukirusha matangazo kwa Mitambo ya kusimikwa ardhini ( Terestrial ) Ni ghalama nafuu zaidi

2. Mawasiliano ya Satellite yana changamoto ya hali ya hewa hasa mvua. so effectiveness haipo na pia kwe satellite kuna delay (Latency) lakini mawasiliano kwa njia ya digital yana nafuu katika hili

3. Bei ya Vifaa Eg King'amuzi na dish lake ni bei juu kuliko ukinunua Decoder ua antenna. Ndio maana utaina Star times wameshawahi uza ving'amuzi hadi chini ya elfu 50 wakati vya Dish ni laki 1 Plus

4.

5.

6.

Nitarudi
Mkuu eleza ki-uwazi nae bibi wa ziwa nyasa huko aelewe. Au haya mambo ya mawasiriano kisaterite yana mlolongo usioelezeka katika lugha rafiki ikaeleweka?. Hata hapa najua wengi bado hujawaambia tofauti
 
Baba nimejitahidi sana kuchambua wengi wameshukuru. ww hujaelewa wapi katika vipengele hivyo vitatu nikuelezee
Mfano hapo #1 umesema mawasiriano kwa njia ya satellite ni ghali,hasa satellite za kukodi,kuliko ya kusimikwa ardhini. Swali 1. Azam wanatumia ya hiyo ya kukodi ya satellite au kusimikwa?. 2. Kwa nini wasitumie yenye nafuu ya kusimkwa ardhini?.
#2. Umesema changamoto ya hali ya hewa. Tuje kwenye swali la msingi la muanzisha tred. (A)Vipi kati ya hicho cha dish cha kila siku cha Azam na hiki cha antena cha sasa cha Azam kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?. (B) Je hiki cha sasa kinaweza kuwa bora kuliko cha zamani hasa ikija kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?
#3. Umezungumzia utofauti wa bei kati ya dish na antenna. Ukaenda mpaka bei chini ya elfu 50 kwa star time kwa ving'amuzi. Lakini bado watu wanalalamikia uhafifu wa picha na ubora ktk hicho king'amuzi cha star times. Tukirudi kwenye swali la msingi. Vipi sasa kuhusu kati ya dish na antena hizi za Azam inaweza ikawa kama star times au tu tusubiri wakati tuingie?
 
Mfano hapo #1 umesema mawasiriano kwa njia ya satellite ni ghali,hasa satellite za kukodi,kuliko ya kusimikwa ardhini. Swali 1. Azam wanatumia ya hiyo ya kukodi ya satellite au kusimikwa?. 2. Kwa nini wasitumie yenye nafuu ya kusimkwa ardhini?.
#2. Umesema changamoto ya hali ya hewa. Tuje kwenye swali la msingi la muanzisha tred. (A)Vipi kati ya hicho cha dish cha kila siku cha Azam na hiki cha antena cha sasa cha Azam kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?. (B) Je hiki cha sasa kinaweza kuwa bora kuliko cha zamani hasa ikija kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?
#3. Umezungumzia utofauti wa bei kati ya dish na antenna. Ukaenda mpaka bei chini ya elfu 50 kwa star time kwa ving'amuzi. Lakini bado watu wanalalamikia uhafifu wa picha na ubora ktk hicho king'amuzi cha star times. Tukirudi kwenye swali la msingi. Vipi sasa kuhusu kati ya dish na antena hizi za Azam inaweza ikawa kama star times au tu tusubiri wakati tuingie?


1. Baba ipo hivi
mawasiliano ya dishi yanategemea satellite iliyopo huko juu angani kwenye space. na hizo satellite zinamilikiwa na makampuni. ili uweze kutumia inabidi ukodi upewe nafasi ndio utumie. kutokana na u ghali wa huduma hiyo, hupelekea hata vifurushi vya Ving'amuzi vya Dishi viwe vikubwa ili kupata fedha ya kulipa pango

utakua shahidi kwa startimes, bei ya vifurushi vya dish na antenna vina utofauti , vya dishi ghali

kwa hiyo azam wamesimika mitambo mipya ( New project) ya ardhini( Minara) ili kupunguza ghalama kwa mtumiaji wa mwisho

2. Mawasiliano ya Dish/ Satellite yana changamoto ya hali hewa. utakua shahidi, ikinyesha mvua kidogo au wingu kubwa matangazo ya azam huwa yanakwama kwama hata ya DSTV

Sasa kwa mitambo ya ardhini na ving'amuz vya antenna havipati hii shida hata mvua inyeshe

3. Nenda dukani ulizia king'amuzi cha startimes cha dish na antenna kipi kina bei. Cha dish kinabei sana kwa sababu ya kulipia technlogies zilizimo mule ndani. so decoders za antenna zina bei ndogo na itakuwa nkomboz wa watz wengi
 
Mfano hapo #1 umesema mawasiriano kwa njia ya satellite ni ghali,hasa satellite za kukodi,kuliko ya kusimikwa ardhini. Swali 1. Azam wanatumia ya hiyo ya kukodi ya satellite au kusimikwa?. 2. Kwa nini wasitumie yenye nafuu ya kusimkwa ardhini?.
#2. Umesema changamoto ya hali ya hewa. Tuje kwenye swali la msingi la muanzisha tred. (A)Vipi kati ya hicho cha dish cha kila siku cha Azam na hiki cha antena cha sasa cha Azam kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?. (B) Je hiki cha sasa kinaweza kuwa bora kuliko cha zamani hasa ikija kwenye swala la hali ya hewa kipindi cha mvua?
#3. Umezungumzia utofauti wa bei kati ya dish na antenna. Ukaenda mpaka bei chini ya elfu 50 kwa star time kwa ving'amuzi. Lakini bado watu wanalalamikia uhafifu wa picha na ubora ktk hicho king'amuzi cha star times. Tukirudi kwenye swali la msingi. Vipi sasa kuhusu kati ya dish na antena hizi za Azam inaweza ikawa kama star times au tu tusubiri wakati tuingie?
Sio kweli kwamba king'amuzi cha startimes cha antena kina picha hafifu hichi ni king'Amuzi cha antena kina HDMI port na tv ni 43 inch lakini picha inaridhisha sio mbaya kama mnavyosema
IMG_20201122_123840_1.jpg
 
Sio kweli kwamba king'amuzi cha startimes cha antena kina picha hafifu hichi ni king'Amuzi cha antena kina HDMI port na tv ni 43 inch lakini picha inaridhisha sio mbaya kama mnavyosemaView attachment 1632148
King'amuzi cha antena cha startimes kina picha nzuri tu kama kawaida. Mimi nina Azam ya dish na king'amuzi cha startimes cha antena chenye HDMI na sioni tatizo kwenye ung'aavu na muonekano wa picha ni mzuri tu.
 
1. Baba ipo hivi
mawasiliano ya dishi yanategemea satellite iliyopo huko juu angani kwenye space. na hizo satellite zinamilikiwa na makampuni. ili uweze kutumia inabidi ukodi upewe nafasi ndio utumie. kutokana na u ghali wa huduma hiyo, hupelekea hata vifurushi vya Ving'amuzi vya Dishi viwe vikubwa ili kupata fedha ya kulipa pango

utakua shahidi kwa startimes, bei ya vifurushi vya dish na antenna vina utofauti , vya dishi ghali

kwa hiyo azam wamesimika mitambo mipya ( New project) ya ardhini( Minara) ili kupunguza ghalama kwa mtumiaji wa mwisho

2. Mawasiliano ya Dish/ Satellite yana changamoto ya hali hewa. utakua shahidi, ikinyesha mvua kidogo au wingu kubwa matangazo ya azam huwa yanakwama kwama hata ya DSTV

Sasa kwa mitambo ya ardhini na ving'amuz vya antenna havipati hii shida hata mvua inyeshe

3. Nenda dukani ulizia king'amuzi cha startimes cha dish na antenna kipi kina bei. Cha dish kinabei sana kwa sababu ya kulipia technlogies zilizimo mule ndani. so decoders za antenna zina bei ndogo na itakuwa nkomboz wa watz wengi
Asante hapo nimekuelewa baba
 
Hapa elimu umeitendea haki,mhandisi fursa ya kuuliza kuhusu satellite bado ipo tuendelee?
1. Baba ipo hivi
mawasiliano ya dishi yanategemea satellite iliyopo huko juu angani kwenye space. na hizo satellite zinamilikiwa na makampuni. ili uweze kutumia inabidi ukodi upewe nafasi ndio utumie. kutokana na u ghali wa huduma hiyo, hupelekea hata vifurushi vya Ving'amuzi vya Dishi viwe vikubwa ili kupata fedha ya kulipa pango

utakua shahidi kwa startimes, bei ya vifurushi vya dish na antenna vina utofauti , vya dishi ghali

kwa hiyo azam wamesimika mitambo mipya ( New project) ya ardhini( Minara) ili kupunguza ghalama kwa mtumiaji wa mwisho

2. Mawasiliano ya Dish/ Satellite yana changamoto ya hali hewa. utakua shahidi, ikinyesha mvua kidogo au wingu kubwa matangazo ya azam huwa yanakwama kwama hata ya DSTV

Sasa kwa mitambo ya ardhini na ving'amuz vya antenna havipati hii shida hata mvua inyeshe

3. Nenda dukani ulizia king'amuzi cha startimes cha dish na antenna kipi kina bei. Cha dish kinabei sana kwa sababu ya kulipia technlogies zilizimo mule ndani. so decoders za antenna zina bei ndogo na itakuwa nkomboz wa watz wengi
 
Muhandisi hebu saidia hili,startimes wana visimbuzi vya FTA na pay tv,azam zote zina FTA je baada ya antena wao hawawezi zitoa nao au ikoje hii mtaalamu?
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom