Kisimbusi Continental

Mjasiria Akili

JF-Expert Member
Sep 24, 2012
822
370
Kati ya visimbusi vyote hiki ndio kichefuchefu
Kwa siku kinakatika mara4 mapaka 6 acha wachina wa star time watuokoe manake waliwapiga vita na kutaka kutoa chanel yao kwa kujifanya watajiweza wenyewe kumbe ni bora wachina mara 100 kuliko wao
 
digtek, *times na continental vyote n mav matupu. wamiliki wao tamaa zmewashika wanalazmisha mambo huku hawana mtaji.
king'amuz n azam tu.
najua itachukua muda kwa maslow learner kuelewa hili
 
No continental wamezidi mimi ninacho startime kipo sawa c kama continental tatizo la azam local chanel ni chache na hawalazimishwi kuingia sbb azam tv ni tv kama ilivyo super sport au tv nyingine yoyote
 
Hawana maana yoyote unaweza kuwa unaangalia habari bara kimya mpaka kesho wanadanganya watu eti kuna channel kibao za michezo wakati hakuna hata moja.
 
No continental wamezidi mimi ninacho startime kipo sawa c kama continental tatizo la azam local chanel ni chache na hawalazimishwi kuingia sbb azam tv ni tv kama ilivyo super sport au tv nyingine yoyote
Hivi Azamu wana Channel ngapi
 
AZAM TV kiboko! wanatumia dish hivyo kukwama ovyo sahau alafu kwa bei ya 130,000 kupata dish na dekoda yao na kila mwezi 12,500 lakini kuna channel kibao nzuri sana!
 
Binafsi kuwa local nyingi sio issue kwani local kuna nini cha ziada?
Local zipo Azam tv kasoro za IPP na Star tv.
 
Tatizo azam wana tbc chanel 10 tu itv star tv eatv hakuna so utaishia kuangalia cinema na katuni lkn habari za ndani shida ila ni kizuri
 
Tatizo azam wana tbc chanel 10 tu itv star tv eatv hakuna so utaishia kuangalia cinema na katuni lkn habari za ndani shida ila ni kizuri

Kwani TBC na Channel ten hawana habari za ndani? Au lazima IPP umuone Dr Mengi kila siku? Nunua Digitek basi...
 
digtek, *times na continental vyote n mav matupu. wamiliki wao tamaa zmewashika wanalazmisha mambo huku hawana mtaji.
king'amuz n azam tu.
najua itachukua muda kwa maslow learner kuelewa hili


Hawa jama mwanzoni nliamini kua watamfukuza mchina lakini imekua kinyume chake. Azam tv hana hata mwezi kwenye
biashara hii lakini ameonekana baada ya miaka kama miwili anaweza kukabiliana na star times.
 
Hawa jama mwanzoni nliamini kua watamfukuza mchina lakini imekua kinyume chake. Azam tv hana hata mwezi kwenye
biashara hii lakini ameonekana baada ya miaka kama miwili anaweza kukabiliana na star times.

hapa kwenye star times umekosea. Azam yupo juu.linganisha 12500 kwa 40000 kwa mwezi
 
Tbc haina habari za ndani ina habari za ccm mf saa hizi wanamuonyesha la profeser muongo akipiga porojo udsm kwnye mjadala wa gesi bora kidogo chanel 10 habari za ndani kwa ujumla zipo star tv na itv
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom