Kisima cha maajabu -SUMBAWANGA

isaya mwasetuka

Senior Member
Feb 17, 2013
101
23
Habari za kuaminika kutoka sumbawanga televishen(S-TV) Zinathibitisha kutokea maajabu ya kusisimua ktk kata ya chanji mjin sumbawanga ni baada ya watu wawili kufariki dunia na mmoja kuzimia ktk kisima kimoja kilichochimbw na mchimbaj ambae jina lake halikufahamika.Ilikuwa tar 24.12.2013 baada ya mwenye nyumba kuita mchimbaji alifia shimon kafuata muokoaji pia jafa akafuata mwingine yaan m2 wa tatu aliofungwa kamba na waokoaji wengine akanusurika kwa kuvutwa na kamba aliyofungwa hivyo kuzirai.Inasadikika kuna nguvu za giza maana hata kuwatoa marehemu walitumia waganga wa kienyeji.
 
hzo nguvu za giza wangetumia kujenga mabarabara mazuri,kuboresha maisha yetu ungekuwa na faida sana,tatizo wanaumizana,miafrika bwana sijui tuna laana gani
 
Habari za kuaminika kutoka sumbawanga televishen(S-TV) Zinathibitisha kutokea maajabu ya kusisimua ktk kata ya chanji mjin sumbawanga ni baada ya watu wawili kufariki dunia na mmoja kuzimia ktk kisima kimoja kilichochimbw na mchimbaj ambae jina lake halikufahamika.Ilikuwa tar 24.12.2013 baada ya mwenye nyumba kuita mchimbaji alifia shimon kafuata muokoaji pia jafa akafuata mwingine yaan m2 wa tatu aliofungwa kamba na waokoaji wengine akanusurika kwa kuvutwa na kamba aliyofungwa hivyo kuzirai.Inasadikika kuna nguvu za giza maana hata kuwatoa marehemu walitumia waganga wa kienyeji.
Acha ushamba , ukichimba shimo na wewe ukaingia ndani na uka kaa humo , utakufa kwa kukosa oxygen.
Ndio maana wachimbaji wa madini wanahakikisha kuna compressor ya kuingiza hewa mpya shimoni.

Jitahidi kuelimika kijana!
 
DAAH! !Hapa umesema kweli jamaa baadhi ya waafrika ndo walivyo wanajali kuumizana tu yaani wanaboa kweli.
 
Acha ushamba , ukichimba shimo na wewe ukaingia ndani na uka kaa humo , utakufa kwa kukosa oxygen.
Ndio maana wachimbaji wa madini wanahakikisha kuna compressor ya kuingiza hewa mpya shimoni.

Jitahidi kuelimika kijana!

Ni sawa usemavyo ila inategemea na kina cha urefu wa hicho kisima.
Otherwise waulizwe hao wadau waliokuwapo hapo na hiyo aliezirai akaokolewa je hawakuvuta hewa yenye harufu mbaya kama vile ya ushuzi au yai bovu?

Kama hiyo harufu ilikuwapo basi hao wamevuta hewa ya sumu inayoitwa Hydrogen Sulphide (H2S). Na watakuwa wamevuta zaidi ya kiwango cha salama which.is 5ppm.

Kisayansi kuwepo hali inatokana na bakteria ambao wanaishi kwa kupumua kwa nji inayoitwa aanaerobic respiration.

Hapo pahala panaweza kuwa kuna aina fulani ya biomas gesi inaitwa methane ambayo ni nzuri kama nishati mbadala. Au itakuwa kuna madini fulani hapo.

Cha muhimu hiyo hewa waliyovuta hapo inaweza kuwa ni hiyo hewa sumu ya hydrogen sulphide.
Muwe na hadharin sana msikurubie hapo pahali.
Mtu yeyote atakekumbana na hiyo harufu basi aelekee upande unaotokea upepo huku anaondoka bila ya kukimbia.
 
Huo uchawi wange mboost Pinda awe kama EL lakini asiibe awe tu muwajibikaji ,serikali ya JK ingekua mbali sana
 
Ni sawa usemavyo ila inategemea na kina cha urefu wa hicho kisima.
Otherwise waulizwe hao wadau waliokuwapo hapo na hiyo aliezirai akaokolewa je hawakuvuta hewa yenye harufu mbaya kama vile ya ushuzi au yai bovu?

Kama hiyo harufu ilikuwapo basi hao wamevuta hewa ya sumu inayoitwa Hydrogen Sulphide (H2S). Na watakuwa wamevuta zaidi ya kiwango cha salama which.is 5ppm.

Kisayansi kuwepo hali inatokana na bakteria ambao wanaishi kwa kupumua kwa nji inayoitwa aanaerobic respiration.

Hapo pahala panaweza kuwa kuna aina fulani ya biomas gesi inaitwa methane ambayo ni nzuri kama nishati mbadala. Au itakuwa kuna madini fulani hapo.

Cha muhimu hiyo hewa waliyovuta hapo inaweza kuwa ni hiyo hewa sumu ya hydrogen sulphide.
Muwe na hadharin sana msikurubie hapo pahali.
Mtu yeyote atakekumbana na hiyo harufu basi aelekee upande unaotokea upepo huku anaondoka bila ya kukimbia.

Smart !
 
Kweli kabisa mkuu hapo juu hivi dunia hii bado kuna watu wapumbavu wanamawazo ya kishirikina lol
 
Ni sawa usemavyo ila inategemea na kina cha urefu wa hicho kisima.
Otherwise waulizwe hao wadau waliokuwapo hapo na hiyo aliezirai akaokolewa je hawakuvuta hewa yenye harufu mbaya kama vile ya ushuzi au yai bovu?

Kama hiyo harufu ilikuwapo basi hao wamevuta hewa ya sumu inayoitwa Hydrogen Sulphide (H2S). Na watakuwa wamevuta zaidi ya kiwango cha salama which.is 5ppm.

Kisayansi kuwepo hali inatokana na bakteria ambao wanaishi kwa kupumua kwa nji inayoitwa aanaerobic respiration.

Hapo pahala panaweza kuwa kuna aina fulani ya biomas gesi inaitwa methane ambayo ni nzuri kama nishati mbadala. Au itakuwa kuna madini fulani hapo.

Cha muhimu hiyo hewa waliyovuta hapo inaweza kuwa ni hiyo hewa sumu ya hydrogen sulphide.
Muwe na hadharin sana msikurubie hapo pahali.
Mtu yeyote atakekumbana na hiyo harufu basi aelekee upande unaotokea upepo huku anaondoka bila ya kukimbia.
Sawa kabisa na ningekubaliana na maelezo yako kama mtoa mada angesema shimo lililochimbwa lilikuwa fupi mithili ya kaburi na bado jamaa wakufa kwa kuvuta hewa hiyo.
Mtoa mada hajasema kuwa kulikuwa na harufu ya yai bovu sehemu hiyo.
Uzuri wa hydrogen sulfide ni kwamba inakupa warning kwa harufu yake, na mtu unaweza kujiokoa baada ya kuvuta hewa hiyo.

Kijijini kwangu(huko wilaya ya Rungwe) gesi huwa inatoka freely kama mita mia mbili toka sehemu ilipo nyumba yetu na wanakijiji kwa miaka mingi tu wamejifunza madhara yake na kuchukua tahadhari.

Nasisitiza kuwa , kisima kilikuwa kirefu na hao jamaa wa mekufa kwa kukosa oxygen-matukio ambayo ni kawaida kabisa kwa mtu ambaye hajawahi kuchimba shimo refu.
 
Acha ushamba , ukichimba shimo na wewe ukaingia ndani na uka kaa humo , utakufa kwa kukosa oxygen.
Ndio maana wachimbaji wa madini wanahakikisha kuna compressor ya kuingiza hewa mpya shimoni.

Jitahidi kuelimika kijana!

Kwa hvy compressor n mganga wa kienyeji maana kila muokoaj alishindandwa hata catapila ya wachna ilikwama
 
hzo nguvu za giza wangetumia kujenga mabarabara mazuri,kuboresha maisha yetu ungekuwa na faida sana,tatizo wanaumizana,miafrika bwana sijui tuna laana gani

Uchawi si lolote si chochote. mtu akikosa scientific explanation anasingizia uchawi. huu ni ufinyu wa akili. Ungekuwapo uchwi ccm wangefanikiwa katika kuiondoa CHADEMA. maana CDM kinawanyima kina Lukuvi na mwigulu usingizi kweli
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom