Usajili wake cholo katoa hela, mshara laki3 bodaboda inamtosha ndo hadhi yake
naona neno cholo hapa umelitumia kama msemo
dunia ya tofauti, kuna mwingine kasajiliwa kwa m 50, na wote watacheza timu moja ushindi mmoja........akikaza buti na yeye atakua lulu usajili ujao
Anakwenda kuua kipajichke,angekaa zake Manungu...
Simba ni kisima cha Soka Tanzania.......
wamekufa wangapi kwa njaa? lete data
hiyo ndiyo tasfiri ya KISIMA cha SOKA? kama ndivyo taja nchi zote.......locally tu, kwa Yanga (Mabingwa wa Vilabu Afrika Mashariki na Kati vide Kagame Cup) kuna nusu ya wachezaji toka Simba haluina ubishi hilo na msimu wa usajili ukianza tu jicho la kwanza la Yanga linakwenda kwa Vipaji vilivyopko SIMBA na hili utabisha?masifa mengine bwana hivi simba ishawai toa mchezaji akacheza ligi ya ufaranda,spain,italy,wingereza au uholanzi