Mwingereza
JF-Expert Member
- Jan 21, 2014
- 1,110
- 2,736
Ni vigumu sana kuamini kwamba Zitto Kabwe ambaye wiki chache zilizopita alikuwa mshirika wa Chadema leo ni mshirika wa CCM. Nadhani maneno yangu hayatakuwa na nguvu kama hii picha. Najiuliza maswali mengi kama watanzania wengine, ila majibu sipati.
Zitto atawaambia nini watanzania kuanzia sasa? Hata watatetezi wake wanamchukuliaje?
Mwenye majibu atuambie kwamba Zitto Kabwe ni mpinzani au ni mtu wa haina gani maana kisiasa hajawahi kuaminika.
Zitto atawaambia nini watanzania kuanzia sasa? Hata watatetezi wake wanamchukuliaje?
Mwenye majibu atuambie kwamba Zitto Kabwe ni mpinzani au ni mtu wa haina gani maana kisiasa hajawahi kuaminika.