William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Wiki moja iliyopita Mh. Makonda alifanya mkutano na Waandishi wa Habari na kusema maneno mazito sana kuhusiana na mbio za Urais 2015, wakatokea Viongozi wengi waliomjibu kwamba amekosea na wengine wakaamuunga mkono kuwa yupo sawa jana Rais wa Jamhuri amemteua kwenye Bunge la Katiba,
Maana yake inaweza kuwa nzito sana depending na nani anaisoma hii situation, ila kwa maneno rahisi sana bila kuchanganya habari ni kwamba Rais ankubaliana na maneno ya Makonda kwenye ule mkutano wake na waadishi, au mnasemaje?
FMES - Wazeee Wa Sauti Ya Umeme.
Maana yake inaweza kuwa nzito sana depending na nani anaisoma hii situation, ila kwa maneno rahisi sana bila kuchanganya habari ni kwamba Rais ankubaliana na maneno ya Makonda kwenye ule mkutano wake na waadishi, au mnasemaje?
FMES - Wazeee Wa Sauti Ya Umeme.