Kisiasa, kwa matukio haya mawili unapata tafsiri gani?

Kama kuna mwadamu hapa Tz atakayepiga kura ya uraisi 2020 kuchagua CCM, huyu ni adui ya Taifa letu!
 
Kama kuna mwadamu hapa Tz atakayepiga kura ya uraisi 2020 kuchagua CCM, huyu ni adui ya Taifa letu!

Kuna tofauti Kubwa ya ubaya wa CCM kama Chama na Yule anayekifanya chama cha CCM kionekane kibaya. Binafsi sina tatizo na chama cha CCM na nakipenda hadi pumzi yangu ya mwisho hapa duniani.

Je Wewe unakichukia chama cha CCM kama CCM au wale Watendaji wakuu wa CCM? Nasubiri jibu lako tafadhali.
 
Kuna tofauti Kubwa ya ubaya wa CCM kama Chama na Yule anayekifanya chama cha CCM kionekane kibaya. Binafsi sina tatizo na chama cha CCM na nakipenda hadi pumzi yangu ya mwisho hapa duniani.

Je Wewe unakichukia chama cha CCM kama CCM au wale Watendaji wakuu wa CCM? Nasubiri jibu lako tafadhali.
Nashukuru Mungu kwa umri wangu huu nakaribia 50, nimeshuhudia mageuzi mengi ya kisiasa nchini, nimepiga kura toka uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi. To be sincerely , sijawahi kuipenda CCM kama chama. Na watendaji wake, maamuzi wanayofanya ya kuumiza watu, ndio yananifanya nizidi kuichukia CCM.

Mambo mengine yanayoendelea bila hata chama cha siasa yangefanyika, coz tuna mifano ya madikteka dunian na nchi zao zina maendeleo ya kutosha.
 
Mimi Nilibaki Mdomo Wazi Tu Nakujisemea Moyon Kumbe Nae Anayo Hofu Ya Uchaguzi Kama Wezie Maana Wezie Wamezid Wanaropoka Sana Siku Izi Mpaka Unajiuriza Nini Kimewapata Kumbe Wameasirika Kisaikorojia Kwa Sababu Ya Uchaguzi Lakin Tumsamahe Bure Nae Binadamu Ajakamilika Kama Mimi Nawewe
 
Umuhimu wa mkoa kwa nini usababishe upendeleo?? Mikoa yote wanaishi watanzania ambao inabidi wahudumiwe sawa. Alafu kama hujui mikoa iliyoko mipakani ina umuhimu kuliko unavofikiri
Endelea kuleta ubishi. Unadhani Wilaya ya Kondoa itapewa kipaumbele sawa na wilaya ya Chato.
 
Kuna kiongozi mmoja alisema chadema haitapokea makapi tena kutoka
Ccm!
Akampokea Lowasa
Ndiyo wanasiasa hao
 
1.Idadi ya wahanga,vifo,majeruhi
2.Kiwango cha maumivu ya kimwili.
3.Picha na Mshutuko wa kisaiklojia.
Kwa ufupi MOTO ni hatari/adhabu ambavyo hata Muumba wa Mbingu na Nchi alisema kamwe hawezi kuwapa binadamu kama adhabu,ila matetemeko ni jambo la kawaida kwani tusipopata tetemeko la Ardhi tutatetemeshwa na Bodaboda,generator au umeme au mitambo ya kushindilia ardhi au Majenerator makubwa ila sio moto,kwani cheche ndogo ya moto inaweza kusabisha maumizi na mauti ya kutisha.
 
Tetemeko la Ardhi Kagera lililowahusu Watanzania ambao hawakuwa na hatia yoyote ile

" Sijalileta Mimi na hakuna Hela ya Kutoa tuvumiliane tu mwenye Uwezo wake ajenge au msaidiane Kujenga taratibu na isitoshe hata hili Tetemeko limetokana na Uzembe wenu wa Kutokujenga vizuri Makazi yenu na ndiyo maana lilivyokuja limeleta madhara haya makubwa Kwenu hivyo msilalamike"

Ajali ya Lori la Mafuta Morogoro iliyowahusu Watanzania wengi kutokana na Uzembe Wao

" Ni bahati mbaya hawakuiombea Ajali na nimewapa Wagonjwa Pesa za Kujikimu Shilingi Laki Tano Tano, naomba watibiwe daraja la Kwanza, wale wanachotaka ikibidi hata Wavimbiwe kisha Bili iletwe Serikalini tutalipa tu hata ikiwa ni kiasi gani na hata Wahudumu nao nimewapa Pesa pia kwa Kazi yao nzuri "

Karibuni katika Mjadala.
Waathirika wa tetemo kagera wemeishia kutukanwa tu na rambirambi kasepa nazo ila vibaka wafyonza kiwese wamepewa mshiko @5k . Afu mungu leo kaongeza idadi wamefikia 89 wemebaki 23 hizo 5k alizowapa ndio itawazikia shwain hao💩👹👹👹 meko aende kuwazika kabisaa
 
Kisiasa kwa kauli hizo mbili napata taswira kuwa mchezo wa siasa za (kimajukwaa) ni sahihi kutokea hali kama hizo na ndio sayansi yake inavyofanyika duniani kote, ila kwa swala la governaning transparency ni kuwa linaleta mkanganyiko na njia sahihi za kuleta mabadiliko kwenye jamii husika fairly. So it's both right and wrong in major powerful fields of political science.

NB: My Opinion doesn't rely on any sort of diplomacy or leadership ethics, nimeenda straight na ulicholeta kwenye mada "Siasa" na nina amini waliopata maarifa vizuri kokote kule hawataleta ushabiki maandazi to this thread. PEACE & LOVE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom