Mara nyingi nilikuwa nasikia kwa vijana vijiweni Luna mchongo pale.
Nikaja kusikia mgombea Fulani anawambia vijana nitawapa michongo.
Jana nimesikia mahakamani Michongo.
Nini maana halisi ya neno Michongo?
Je, ina athali kisheria kutumia neno hilo kwa shahidi awapo mahakamani?
Nikaja kusikia mgombea Fulani anawambia vijana nitawapa michongo.
Jana nimesikia mahakamani Michongo.
Nini maana halisi ya neno Michongo?
Je, ina athali kisheria kutumia neno hilo kwa shahidi awapo mahakamani?