Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.

Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.

Video hii hapa

====

SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU

Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo

Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa

Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais

#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020

View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481

View attachment 1603231
Tatizo lipo kwenye kutangazwa. Hapo ndipo penye mtihani mkubwa
 
Mbona km wanabug? Ponda huyu huyu ndio anawaombea kura Chadema? Mbona background yake sio nzuri?

Ok waislam wametakiwa wampigie Lissu, sio udini huu?
Vp kuhusu wakristo, wapagani na dini zingine wampigie nani?

Tukiendelea kuomba kura kwa mfumo huu tutafika kweli km taifa?
Chadema wamekosea Sana kuruhusu hili. Litawapunguzia kura nyingi sana
 
Ponda unakosea sana kumuombea kura Lisu kwenye jukwaa kwa misingi ya kidini/kibaguzi ."eti sisi waislam........" hiyo ni kauli ya kibaguzi yenye lengo la kuigawa nchi yetu......
wapiga kura tupo mchanganyiko, wakristo kwa waislam na dini zingine, sote tutapiga kura na tutamchagua mgombea kwa uzuri wa sera za chama chake na kamwe hatuwezi kupiga kura kwa misingi ya kidini.
mimi ni mkristu lkn naona masheki mnatumika vibaya sana na mnakubali kutumiwa bila hata kutafakari athari zinazo weza kutokea.
 
Kweli
Kampeni za Lissu ni jeshi la mtu mmoja dhidi ya majeshi ya ccm yaliyotapakaa nchi nzima. Yeye anapiga kampeni mijini na kwenye barabara za lami tu huku wapigakura akiwaache vijijini/ mashambani/ mabondeni. Hivyo kuwaza kuwa anaweza kushinda huo ni uwenda wazimu.
wewe kweli ni mse.ge
 
huyo mzee msengerema sana hawezi kusema eti amekubaliana waislam wote utafikir sisi ni wake zake pimbi huyo...
 
Hbr sio ya kwel misimamo ya ponda haiwezi shabikia mambo ya kisiasa ponda ana misimamo migumu mnoo ndio maana ata serikali hua inamfatilia, ponda misimamo yake ya kidini hua anaamini demokrasia ni ukafiri so abadani hawezi piga kula na wala hatopiga kula naandika kwa reference ninamjua huyu mzee vzr sn hawezi narudia hawezi.
 
Hii kuchanganya mambo ndio ninapouona ujinga wa upinzani, yaani mtafanya chochote alimradi kwenu ni hayo madaraka tu.

Yaani hata kama Mtu umeichoka ccm lakini Upinzani wamekosa kabisa Watu wenye hekima wa kuchuka nafasi, Lisu ni Mwanaharakati si Mwanasisasa.
 
Angalia wenzako wasiyo na mihemko wanavyofanya analysis ya uchaguzi wetu Tanzania 2020 Elections: 7 key pieces of information you need to know

Many experts and analysts converge to say that Magufuli is likely to be reelected regardless of the 2015 election scenario where the CHADEMA candidate, Edward Lowassa, came close enough to defeating the CCM candidate, Dr. John Pombe Magufuli.

CC Pascal Mayalla
Hizo porojo tutaendelea kuzipuuza kama Trump alivyopuuza wakati ule mnamnadi mama Trump, Huyo Mayalla uliyempelekea nakala anajua kila kitu, tegemeo lake limebaki kwa Mahera
 
Back
Top Bottom