Uchaguzi 2020 Kishindo: Sheikh Ponda atoa neno kwenye mkutano wa Lissu Dodoma, Uwanja walipuka kwa shangwe

Waislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali ya wale mashehe magaidi walioko rumande huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA.

Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati.

Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda.
Hujui chochote kuhusu Uislam na Waislam.

Binafsi, siwaungi mkono BAKWATA wala Ponda. Mimi ni Muislam.
 
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.

Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.

Video hii hapa

====

SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU

Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo

Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa

Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais

#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020

View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481

View attachment 1603231
Hawa Masheikh ningekuwa na mamlaka sijui ningewafanyaje aisee. Maana wanawapoteza sana Waislamu huku na wao wakijipoteza.

Watu wajinga wa hii Dini, ndiyo wamekuwa viherehere wa kuizungumzia hii dini. Ila mtume alishayasema haya.

Uislamu na kupiga kura wapi na wapi ?
 
Sheikh Ponda amezungumza jukwaa moja na Tundu Lissu?

MUNGU ambariki Sheikh Ponda kwa wema huu.
Hapo hakuna baraka katika kumuasi Mola.

Labda awe hayo anayoyafanya hana elimu nayo na hayajui, hapo atakuwa amepona, ila kama anajua ya kuwa hicho anachokifanya ni makosa basi hakika anapata madhambi makubwa mbele ya Allah, na Allah atamuadhibu kwa kosa hilo labda atubie kabla umauti haujamfika.
 
Mwili umenisisimka kwa furaha kubwa na isiyoweza kuelezeka,CCM wameshindwa kumnunua Shekh Ponda. Hakika huyu ni Shekh anayesimamia miiko na maadili ya Uislam na kuyaishi!

Kura zote kwa Lissu!
Uislamu gani anao usimamia Shehe Ponda ? Mbona mnautukana Uislamu namna hii ?
 
Huyu ndiye Shehe pekee aliyebaki hapa Tanzania. Ponda ni kiongozi, Ponda ni mtu, Ponda ni mtu jasiri na hana unafiki kama wale walamba viatu vya binadamu.
Sasa mbona anaenda kinyume na Uislamu ?

Maana Demokrasia ambao ni mfumo wa kupiga kura ndani yake unaupiga Uislamu.
 
Dini jamani dini, mkionywa hamsikii, kwanini mwataka kutusambaratisha watanzania kisa imani?!
 
Sheikh Ponda kweli amesema kama Lissu hakuchaguliwa, basi Mungu hatapokea Dua za watanzania? Kama ni kweli basi Sheikh amekufuru sana, Shekh Ponda hana uwezo wa kumsemea Mungu, na hajui uamuzi wa Mungu utakuwaje.
Mimi siafiki matumizi ya dini katika siasa au kura lakini bila shaka wanaomjua Sheikh Ponda wamemulewa sana kama ni "Dua" ipi aliyoikusudia.
 
Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.

Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.

Video hii hapa

====

SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU

Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo

Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa

Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais

#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020

View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481

View attachment 1603231
Tahadharini Enyi wanadamu, move hizi za kuwa involves hawa mashekhe na mapadri katika siasa huenda ikahatarisha amani la Taifa letu' naona ni kama vile sukari inaelekea kukolea kwenye chai, siasa inaingia anga nyingine Mahasidi nao hawako mbali kutumia upenyo kutuvuruga
 
"Tulitamani kuwa na Kiongozi kama Dr.Magufuli,Tumempata, tunaendelea nae.
KURA YANGU KWA MAGUFULI "

#TulipotokaTunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli
Kiongozi ambayo watu wanauawa wengine wanapigwa risasi halafu nakuja hatua yoyote ya kisheria inachukuliwa huyi ndie kiongozi mliemtaka???
Haki Uhuru na maendeleo ya watu ndio tutachagua mwaka huu uhai wa watanzania Ni bora kuliko hayo mandege na maflyova
 
Back
Top Bottom