Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,004
- 173,644
Anayeaminiwa pale anaposhindwa kudumisha Hali ya kuaminiwa,tuliomwamini tufanyeje
Anayeaminiwa pale anaposhindwa kudumisha Hali ya kuaminiwa,tuliomwamini tufanyeje
Wanaomuharibia Lissu ndio wanazidi kuongezeka.Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.
Hujui chochote kuhusu Uislam na Waislam.Waislamu walio wengi ni BAKWATA .PONDA ni siasa kali ya wale mashehe magaidi walioko rumande huwa anawaporomoshea mitusi BAKWATA.
Ukishakuwa na PONDA tu ujue waislamu walio wengi ambao ni BAKWATA kura zao hupati.
Hakuna mtu asiyependwa na waislamu wa BAKWATA kama huyo shehe Ponda.
Hawa Masheikh ningekuwa na mamlaka sijui ningewafanyaje aisee. Maana wanawapoteza sana Waislamu huku na wao wakijipoteza.Kadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.
Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.
Video hii hapa
====
SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU
Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo
Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa
Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481
View attachment 1603231
Hapo hakuna baraka katika kumuasi Mola.Sheikh Ponda amezungumza jukwaa moja na Tundu Lissu?
MUNGU ambariki Sheikh Ponda kwa wema huu.
We hupendi ukweli tu.Huyo ni mamluki kishashtukiwa na kila mtu
Wewe na nani mlituma Gwajima ili aseme? Tumia akili kamanda.Kama Gwajima tulivyo mtuma aseme Uislamu ni dini ya majini na Wakatoliki ni wanao abudu uongo.
Uislamu gani anao usimamia Shehe Ponda ? Mbona mnautukana Uislamu namna hii ?Mwili umenisisimka kwa furaha kubwa na isiyoweza kuelezeka,CCM wameshindwa kumnunua Shekh Ponda. Hakika huyu ni Shekh anayesimamia miiko na maadili ya Uislam na kuyaishi!
Kura zote kwa Lissu!
Sasa mbona anaenda kinyume na Uislamu ?Huyu ndiye Shehe pekee aliyebaki hapa Tanzania. Ponda ni kiongozi, Ponda ni mtu, Ponda ni mtu jasiri na hana unafiki kama wale walamba viatu vya binadamu.
Mimi siafiki matumizi ya dini katika siasa au kura lakini bila shaka wanaomjua Sheikh Ponda wamemulewa sana kama ni "Dua" ipi aliyoikusudia.Sheikh Ponda kweli amesema kama Lissu hakuchaguliwa, basi Mungu hatapokea Dua za watanzania? Kama ni kweli basi Sheikh amekufuru sana, Shekh Ponda hana uwezo wa kumsemea Mungu, na hajui uamuzi wa Mungu utakuwaje.
Tunamtosa tu!...Anayeaminiwa pale anaposhindwa kudumisha Hali ya kuaminiwa,tuliomwamini tufanyeje
Mabeberu hawana chao tanzaniAHapa CCM wakitaka kushinda kwa hila! watoe hongo ya yale madini ya Mmasai Laizer kwa mabeberu tu hakuna namna.
Mrundi huyoHuyu ndiye Shehe pekee aliyebaki hapa Tanzania. Ponda ni kiongozi, Ponda ni mtu, Ponda ni mtu jasiri na hana unafiki kama wale walamba viatu vya binadamu.
Hapati kituYamkini mtakusanya kila garasa, kuanguka Oct 28 kupo pale pale. JPM tano tena.
Tuondolee uccm wako wa kishamba hapa. Wana CCM wote wenye akili timamu watampigia kura Lissu. Wahutu jiandaeni kurudi kwenu Burundi mlikozoea kuchinjana.Huyu ndio amekuja kuharibu kabisa, maana huwa ana itikadi za kutokupenda amani ya nchi yetu, kwa ujumla CHADEMA tumebugi sana.
Tahadharini Enyi wanadamu, move hizi za kuwa involves hawa mashekhe na mapadri katika siasa huenda ikahatarisha amani la Taifa letu' naona ni kama vile sukari inaelekea kukolea kwenye chai, siasa inaingia anga nyingine Mahasidi nao hawako mbali kutumia upenyo kutuvurugaKadri muda unavyozidi kwenda ndivyo Wanaomuunga Mkono Tundu Lissu wanavyojitokeza na kuzidi kuongezeka.
Mwangalie Sheikh Ponda Issa Ponda alivyotikisa Dodoma leo.
Video hii hapa
====
SHEIKH PONDA: WAISLAMU TUMEKUBALIANA TUTAMPIGIA KURA LISSU
Sheikh Ponda Issa Ponda amesema Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu kushinda kura za urais katika Uchaguzi Mkuu 2020 sio tatizo
Amesema waislamu wote wamekubaliana kumchagua Lissu. Hivyo atashinda tatizo linaweza kuja kwenye suala la kutangazwa
Pia Sheikh Ponda amesema Mungu atashindwa kusikia maombi na sala za watanzania kama hawatamchagua Tundu Lissu kuwa Rais
#JFLeo #JamiiForums #Uchaguzi2020 #TZ2020
View attachment 1603479View attachment 1603480View attachment 1603481
View attachment 1603231
Kiongozi ambayo watu wanauawa wengine wanapigwa risasi halafu nakuja hatua yoyote ya kisheria inachukuliwa huyi ndie kiongozi mliemtaka???"Tulitamani kuwa na Kiongozi kama Dr.Magufuli,Tumempata, tunaendelea nae.
KURA YANGU KWA MAGUFULI "
#TulipotokaTunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli