Mkilewa mnapost ujingaCCM washashindwa vibaya mno...sasa wajaribu kuiba kura waone.....
Jiwe alijisahau mno...Mungu kashamuadhibu....hana chake!!
Mie pagani sina wa kumpa kura yanguAnasema kura zote za Waislamu apigiwe Lissu Tanzania mpya inakuja.
Mtajua wenyewe.Mgombea urais au ubunge?
Wanasiasa wetu wamekosa hoja kabisa, sasa wanatumia dini kama kigezo kwamba waislamu wamchague Lissu, halafu wakristo wamachague nani.
Kwani hapo tunachagua kiongozi wa dini. Viongozi wetu wa dini wangebaki neutral na vyama vinavyojielewa visingejiingiza kwenye huo utaratibu wa kuombewa kura na viongozi wa dini.
Kiongozi anasema Waislamu tuta kana kwamba Waislamu wamekaa kikao wakatoa hayo maamuzi.
Mungu awajalie viongozi hekima sana. Unaposema hivyo kiongozi wa dini unasababisha huyo unaemnadi aonekane ni mdini na ametumwa na dini yako kwa maslahi ya dini hiyo hivyo wapiga kura wa dini zingine hawahusu na hawana maslahi nae.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Nataka nimuoe lissu, akiwa rais mimi nakuwa Mme wa raisHapa CCM wakitaka kushinda kwa hila! watoe hongo ya yale madini ya Mmasai Laizer kwa mabeberu tu hakuna namna.
Vumilieni tu mkamuliwe jipu mpone freshhuyo mzee msengerema sana hawezi kusema eti amekubaliana waislam wote utafikir sisi ni wake zake pimbi huyo...
Uislam na ushoga wapi na wapi
Natangaza ndoa na lissuVumilieni tu mkamuliwe jipu mpone freshView attachment 1603971
Vumilieni tu mkamuliwe jipu mpone freshView attachment 1603971
Kuna madhara yoyote?
Kwa Comment hii na mawazo haya, swala la uislaam kuhusishwa na ugaidi litaendelea kuwepo mpaka kiama...Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wanatumia Mashekhe wa Bakwata na kamati ya viongozi wa dini kumshambulia Tundu Lissu. Sasa kuna ubaya gani Shekhe Ponda kumsaidia Tundu Lissu ktk kampeni zake? Tena Ponda ana afadhali kwasababu hajaisema vibaya CCM wala mgombea wake.
..Mimi siwapendi Boko haram na Al Qaeda, lakini ni lazima tuelewe ni kwanini watu wanajiunga na ugaidi. Mara zote ni kutokana na injustice na lack of opportunities. Hivi vikundi huwa haviibuki tu hivihivi bila kuwa na mazingira fulani ya watu kunyimwa haki zao, kukosa fursa, kutengwa, kubaguliwa, na kukosa matumaini ya kusikilizwa na watawala.
Kwa Comment hii na mawazo haya, swala la uislaam kuhusishwa na ugaidi litaendelea kuwepo mpaka kiama.
Waislamu wapenda haki ktk nchi hii tupo pamoja na Tundu Lissu. Hayo mambo mengine ni akili yako kufikiria hivyo.Wanasiasa wetu wamekosa hoja kabisa, sasa wanatumia dini kama kigezo kwamba waislamu wamchague Lissu, halafu wakristo wamachague nani.
Kwani hapo tunachagua kiongozi wa dini. Viongozi wetu wa dini wangebaki neutral na vyama vinavyojielewa visingejiingiza kwenye huo utaratibu wa kuombewa kura na viongozi wa dini.
Kiongozi anasema Waislamu tuta kana kwamba Waislamu wamekaa kikao wakatoa hayo maamuzi.
Mungu awajalie viongozi hekima sana. Unaposema hivyo kiongozi wa dini unasababisha huyo unaemnadi aonekane ni mdini na ametumwa na dini yako kwa maslahi ya dini hiyo hivyo wapiga kura wa dini zingine hawahusu na hawana maslahi nae.
Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Endelea utekwaji Tena miaka 5"Tulitamani kuwa na Kiongozi kama Dr.Magufuli,Tumempata, tunaendelea nae.
KURA YANGU KWA MAGUFULI "
#TulipotokaTunapokwenda
#MagufuliNiMafanikio
#Magufuli5Tena
#ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli #ChaguaMagufuli