Tanzania Railways Corp
JF-Expert Member
- Mar 23, 2018
- 251
- 595
Sasa hicho kishindo cha Rais Samia kiko wapi hapo? Si suala la kawaida tu hilo! Mnakopa ili kununulia hayo mabehewa, na baadaye Watanzania tutatakiwa kulipa huo mkopo na riba juu kupitia kodi na hizi tozo mlizo tuanzishia?
Kishindo kwa maana wanaenda kupiga rushwa ndefu kwenye manunuziSasa hicho kishindo cha Rais Samia kiko wapi hapo? Si suala la kawaida tu hilo! Mnakopa ili kununulia hayo mabehewa, na baadaye Watanzania tutatakiwa kulipa huo mkopo na riba juu kupitia kodi na hizi tozo mlizo tuanzishia?
Kwa nini wataalam tunao wategemea, mnapenda kutanguliza siasa na kujipendekeza kwenye mambo ya msingi? Kiukweli mnaboa sana.
Kila siku mikataba, hiyo Reli hata daraja hapo Kamata mmeshindwa kuunga kelele tu fyuuum
Wanapita kama hawaoni 😁😁,sukuma gang na michadomo.
Rubbish,China hao wanajenga reli,China hao Wana sgr za kumwaga.This funny, China to supply mabehewa!!! Rubbish, stay prepared to see substandard stuff, Youtong- like stuff.
Serikali ya mama ina pesa,Kodi inakusanya,analeta wawekezaji na biashara zinanawiri,bandari kila siku mizigo inaongezeka na pia watumishi wanapiga Kazi bila kufokeana ,utalii umeanza kufunguka,madini yanachimbwa,mikopo na misaada anapata bila ku struggle ..Kasi ya mama ni ya hali ya juu sana, hana kelele kama yule wa zamani, wa zamani angekuwa amekauka mate muda huu, SSH mama maendeleo.
#maendeleoBiriani
Mama Samia ni Rais wa mfano Afrika, nchi imetulia lakini inakwenda kwa Kasi ya 4G, mpaka wale wa upande wa pili wamebaki kuimba ,katiba,katiba,katiba, hivi katiba ndio anataka mwananchi? Mwananchi anataka kuteleza na reli awahishe mazao sokoni, hakika mfupa umempata mwenyewe, nani kama Samia suluhu? Bara mpaka Zanzibar, amefunikaaaSerikali ya mama ina pesa,Kodi inakusanya,analeta wawekezaji na biashara zinanawiri,bandari kila siku mizigo inaongezeka na pia watumishi wanapiga Kazi bila kufokeana ,utalii umeanza kufunguka,madini yanachimbwa,mikopo na misaada anapata bila ku struggle ..
Ukweli ni kwamba hadi 2025 Samia atawafunika wote na wimbo itakuwa mi 10 tena.😄😄
Kumbuka sukuma gang ndo ilinisuru mkataba wa kifisadi ambao Jinga kubwa wa Bagamoyo aliusaini na hawa wavimba macho.Wanapita kama hawaoni 😁😁,sukuma gang na michadomo.
Hiyo ilani, mabehewa ya kisasa yanakuja, tunaenda kuteka soko la Rwanda,Uganda na Burundi pamoja na congo DRC, mzigo inafika mpaka sebuleni kwa mteja kutoka bandarini, yale mambo ya gari za IT kuangushwa na madereva wakati wa safari yanafikia mwisho, kitu ikitoka Japan au ujerumani, kama ilivyo, inafikaSiasa za kinafiki na sifa za kupuuzi zikizid inakuwa kero.
Yaan kununua hayo makitu ndyo muanzr sifa na shangwe? Sometimes huwa mnaonekana washamba hata kwa hao wanaowakopesheni na kuwauzia hayo makitu.
Sifa za kipumbavu
Ni ngumu kujua kama sgr ya Mchina ilikuwa ya kifisadi au laa zatuna mkatabaKumbuka sukuma gang ndo ilinisuru mkataba wa kifisadi ambao Jinga kubwa wa Bagamoyo aliusaini na hawa wavimba macho.
Kwa hiyo ukifanya jambo la maendeleo usifurahie sio? Wewe wivu na kijiba cha roho vitakutesa Sana.Siasa za kinafiki na sifa za kupuuzi zikizid inakuwa kero.
Yaan kununua hayo makitu ndyo muanzr sifa na shangwe? Sometimes huwa mnaonekana washamba hata kwa hao wanaowakopesheni na kuwauzia hayo makitu.
Sifa za kipumbavu