Nyendeke
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 1,552
- 2,844
Hivi Bwana Jembekilo hao Wadau waliopo kwenye avatar yako, hao Jamaa ni wa wapi?Hilo ni tairi la gari kubwa au mtungi wa gas
Huo utaratibu wa kupata huduma kwa namna hiyo wameupata wapi?
Hivi Bwana Jembekilo hao Wadau waliopo kwenye avatar yako, hao Jamaa ni wa wapi?Hilo ni tairi la gari kubwa au mtungi wa gas
hahahhaa hii kali jamanMkuu,
Nimetoka nimekuta Mbwa wangu wamezimia ila kwa sasa wapo vizuri.
Hamna bhana tunatest mabom ya kuwapiga waandamanaji tar 26.Habari za asubuhi, Punde tu muda wa saa 11:00 kamili umesikika mshindo mkubwa sana mithili ya Bomu maeneo hayo tajwa. Walio Karibu ni Nini?
Kama ulijua vile ndo vitendea kazi vilikuwa vinashushwaIsije kuwa ni vitisho kutishia watu 26/4
Uyo sio dog ni mbwa kokoMkuu,
Nimetoka nimekuta Mbwa wangu wamezimia ila kwa sasa wapo vizuri.
Mwanaume wa Dar ktk ubora wakeBadala ya kutoka nje na panga uone kinachojili umekimbilia kuanzisha uzi
Nadhani unataka kujua tu ni kishindo cha nini ili uongeze kufunga na komeo lingine la mlango na kutokutoka ndani kabisaa kwa siku ya leo!!Habari za asubuhi, Punde tu muda wa saa 11:00 kamili umesikika mshindo mkubwa sana mithili ya Bomu maeneo hayo tajwa. Walio Karibu ni Nini?
Dasilamu hiyo!!!Badala ya kutoka nje na panga uone kinachojili umekimbilia kuanzisha uzi
Hivi Bwana Jembekilo hao Wadau waliopo kwenye avatar yako, hao Jamaa ni wa wapi?
Huo utaratibu wa kupata huduma kwa namna hiyo wameupata wapi?
Hao mbwa au swala? wangekuwa wangu ningewauzia wachina wakawale nyama hamna kitu hapoMkuu,
Nimetoka nimekuta Mbwa wangu wamezimia ila kwa sasa wapo vizuri.