Kishindo cha mashairi ya Roma Mkatoliki kwenye wimbo 'Tundu Lissu Shujaa''



Roma Mkatoliki ameshusha mzigo mpya YouTube. Moja ya mistari katika wimbo wake mpya Ni "wakati wa JK tulipinga sana ila hatukupigwa risasi wala kutekwa"....."Nani alijua Tundulisu atapona?"

Huu wimbo unakuja kipindi ambacho Chama cha Mapinduzi kimeapa kutotumia wasanii katika shughuli za siasa huku kikitumia wakata mitama mia tano jukwaani Uhuru Stadium kwa lengo la kupata wakata mitama wachache watakaotumika kwenye kampani.

Dhana ya kampeni na wakata mitama ilizinduliwa rasmi mbele ya Waziri mkuu na kijana anayedhani yeye ana uhai special na nchi hii kisa tu baba yake alimkabidhi kwa watawala wamlelee. Kijana huyu kwake dhuluma (bao la mkono) ni heshima, kwake yeye ukimpinga anaona unatakiwa kupigwa , kwake yeye ccm ni Bora kuliko Tanzania.

Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.

"Wakati wa JK tulipinga ila hatukupigwa risasi wala kutekwa."
roma amekanusha juu ya huo wimbo kuwa hajauimba yeye
 
1. 😁
Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.

2.πŸ˜‘
Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.
 
Kweli kabisa!
Lile bomu la mkono lililorushwa pale Arusha na kuua makamanda wanne mchana kweupe haikuwa wakati wa JK.
Yule kijana muuza magazeti alieuwawa na kitu chenye ncha kali haikuwa wakati wa JK.
Hata Mwangosi alivouwawa kwa kulipukiwa bomu pale Nyololo ni limagufuli tu lilisababisha.
Dah JK alikuwa peace balaa!
Makamanda TUNAMMISS kinoma!!!!!
Nyumbu wanasahau mapema sana.
 
Akikamatwa mtu maarufu watu wote mtajua mtapiga kelele ataachiwa, nikikamatwa mimi hata nisiyejulikana kitongoji maisha yataendelea kama kawaida ndugu jamaa na familia ndo wataumia.
Uanaharakati kipaji.
Ila kweli bhana ukijitia ulisu unapotezwa mara moja
 
πŸ˜‚πŸ˜‚
Akikamatwa mtu maarufu watu wote mtajua mtapiga kelele ataachiwa, nikikamatwa mimi hata nisiyejulikana kitongoji maisha yataendelea kama kawaida ndugu jamaa na familia ndo wataumia.
Uanaharakati kipaji.
πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Back
Top Bottom