Ni mbona mbali aliyokwo akatima katagata, nanywa akabisi nkasokage. Olwo aikuulilizamu aka akaoya ka RomaBite Waguma!
Agandi,Ulio Mama!
Ni mbona mbali aliyokwo akatima katagata, nanywa akabisi nkasokage. Olwo aikuulilizamu aka akaoya ka RomaBite Waguma!
Agandi,Ulio Mama!
Roma hajatoaa nyimbo yoyote kipindi hiki
Roma Mkatoliki ameshusha mzigo mpya YouTube. Moja ya mistari katika wimbo wake mpya Ni "wakati wa JK tulipinga sana ila hatukupigwa risasi wala kutekwa"....."Nani alijua Tundulisu atapona?"
Huu wimbo unakuja kipindi ambacho Chama cha Mapinduzi kimeapa kutotumia wasanii katika shughuli za siasa huku kikitumia wakata mitama mia tano jukwaani Uhuru Stadium kwa lengo la kupata wakata mitama wachache watakaotumika kwenye kampani.
Dhana ya kampeni na wakata mitama ilizinduliwa rasmi mbele ya Waziri mkuu na kijana anayedhani yeye ana uhai special na nchi hii kisa tu baba yake alimkabidhi kwa watawala wamlelee. Kijana huyu kwake dhuluma (bao la mkono) ni heshima, kwake yeye ukimpinga anaona unatakiwa kupigwa , kwake yeye ccm ni Bora kuliko Tanzania.
Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.
"Wakati wa JK tulipinga ila hatukupigwa risasi wala kutekwa."
Kwa hiyo Roma atarudi tena Bongo ?
Roma Mkatoliki ameshusha mzigo mpya YouTube. Moja ya mistari katika wimbo wake mpya Ni "wakati wa JK tulipinga sana ila hatukupigwa risasi wala kutekwa"....."Nani alijua Tundulisu atapona?"
Huu wimbo unakuja kipindi ambacho Chama cha Mapinduzi kimeapa kutotumia wasanii katika shughuli za siasa huku kikitumia wakata mitama mia tano jukwaani Uhuru Stadium kwa lengo la kupata wakata mitama wachache watakaotumika kwenye kampani.
Dhana ya kampeni na wakata mitama ilizinduliwa rasmi mbele ya Waziri mkuu na kijana anayedhani yeye ana uhai special na nchi hii kisa tu baba yake alimkabidhi kwa watawala wamlelee. Kijana huyu kwake dhuluma (bao la mkono) ni heshima, kwake yeye ukimpinga anaona unatakiwa kupigwa , kwake yeye ccm ni Bora kuliko Tanzania.
Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.
"Wakati wa JK tulipinga ila hatukupigwa risasi wala kutekwa."
Sababu ya kifo cha Dr Mvungi ni nini ?Yule daktari aling'olewa kucha kipindi cha Magu kumbe! Au doctor Mvungi aliuwawa kipindi gani? Huwa zamani kila mara ni nzuri tu!!
Tufauti ya Jk na Jpm ni involvement.Kweli kabisa!
Lile bomu la mkono lililorushwa pale Arusha na kuua makamanda wanne mchana kweupe haikuwa wakati wa JK.
Yule kijana muuza magazeti alieuwawa na kitu chenye ncha kali haikuwa wakati wa JK.
Hata Mwangosi alivouwawa kwa kulipukiwa bomu pale Nyololo ni limagufuli tu lilisababisha.
Dah JK alikuwa peace balaa!
Makamanda TUNAMMISS kinoma!!!!!
Kwanini umeni quote?Hata kama wimbo unaburudisha ila maudhui ni matusi ni wa nani?, umepelekwa basata?, na wameupataje? Mtapewa adabu yenu mmeanza fujo mapema sana
MATAGA wataanza kumtukana Roma wakati wao jana wasanii wote wamewapigia pambio ila huu wimbo mmoja wa ROma ni Nongwa.
ndiyoSasa hii thread ya kazi gani hapa?
Baada ya kusikiliza kweli sio ROma yule bali ametumia beat ya roma na kujaribu kuiga sauti ya roma.
Magu anatungua na kuteka mwenyewe?Tufauti ya Jk na Jpm ni involvement.
Jpm kwa jinsi alivyo ni rais kum involve na matendo ya kihuni.
JK alifanya umafia halafu hakuaacha traces zozote hence ilikuwa nguvu kumhususisha na matukio yale
CCM NI WAUAJI MUDA WOTE.....HAKUNA NJIA TUIKATAE CCM ....2020 CCM KWA HERI!Kweli kabisa!
Lile bomu la mkono lililorushwa pale Arusha na kuua makamanda wanne mchana kweupe haikuwa wakati wa JK.
Yule kijana muuza magazeti alieuwawa na kitu chenye ncha kali haikuwa wakati wa JK.
Hata Mwangosi alivouwawa kwa kulipukiwa bomu pale Nyololo ni limagufuli tu lilisababisha.
Dah JK alikuwa peace balaa!
Makamanda TUNAMMISS kinoma!!!!!
Watakutumia usijaliEbu nitumie hiyo nyimbo pm wabongo acheni yoga.
Mkuu kwahiyo awamu zote ziko sawa maana hata ya Mkapa Kuna mauaji ya Zanzibar! Kweli CCM Ni ileile!Ulinganisho wa awamu hii na ile ya Kikwete umetumika vibaya kama sehemu ya maudhui ya wimbo huu.