Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,043
Ndugu yangu mimi siyo mwanaharakati... sitaki kuwa mmoja wa walioshiriki kusambaza wimbo kuna mtu aliuweka na thread imefutwaWeek wimbo tujiridhishe Kama asemayo ni kweli
Ndugu yangu mimi siyo mwanaharakati... sitaki kuwa mmoja wa walioshiriki kusambaza wimbo kuna mtu aliuweka na thread imefutwaWeek wimbo tujiridhishe Kama asemayo ni kweli
🤣🤣🤣🤣🤣 Umeandika kwa woga sanaNdugu yangu mimi siyo mwanaharakati... sitaki kuwa mmoja wa walioshiriki kusambaza wimbo kuna mtu aliuweka na thread imefutwa
Tayari mkuunaomba pia nitumie
Akikamatwa mtu maarufu watu wote mtajua mtapiga kelele ataachiwa, nikikamatwa mimi hata nisiyejulikana kitongoji maisha yataendelea kama kawaida ndugu jamaa na familia ndo wataumia.🤣🤣🤣🤣🤣 Umeandika kwa woga sana
Wewe jamaa unafanya sana kazi za online, hapo naona upo freelanceView attachment 1539196
Roma kakana hataki kuzushiwa, watu wana roho mbaya sasa kwanini utoe wimbo halafu usijitangaze wewe umpakazie mwingine
yeah, familia kwanza broWee ili namimi watakaoanza kamata walioshiriki sambaza wimbo na mimi niwe mmoja wao. Nina familia aisee
Niko online almost 14 hours per dayWewe jamaa unafanya sana kazi za online, hapo naona upo freelance
😂😂😂😂😂 Kwakweli mpendwaAkikamatwa mtu maarufu watu wote mtajua mtapiga kelele ataachiwa, nikikamatwa mimi hata nisiyejulikana kitongoji maisha yataendelea kama kawaida ndugu jamaa na familia ndo wataumia.
Uanaharakati kipaji.
Roma Mkatoliki ameshusha mzigo mpya YouTube. Moja ya mistari katika wimbo wake mpya Ni "wakati wa JK tulipinga sana ila hatukupigwa risasi wala kutekwa"....."Nani alijua Tundulisu atapona?"
Huu wimbo unakuja kipindi ambacho Chama cha Mapinduzi kimeapa kutotumia wasanii katika shughuli za siasa huku kikitumia wakata mitama mia tano jukwaani Uhuru Stadium kwa lengo la kupata wakata mitama wachache watakaotumika kwenye kampani.
Dhana ya kampeni na wakata mitama ilizinduliwa rasmi mbele ya Waziri mkuu na kijana anayedhani yeye ana uhai special na nchi hii kisa tu baba yake alimkabidhi kwa watawala wamlelee. Kijana huyu kwake dhuluma (bao la mkono) ni heshima, kwake yeye ukimpinga anaona unatakiwa kupigwa , kwake yeye ccm ni Bora kuliko Tanzania.
Niwakumbushe tu kuwa wimbo mmoja wa msanii anayezungumzia haki, democracy na usawa ni zaidi ya nyimbo miatano za watu wanaomtukuza binadamu ambaye ajakamilika na atokaa akamilike.
"Wakati wa JK tulipinga ila hatukupigwa risasi wala kutekwa."
Unajua maana ya kusifia? Ndio maana wanaokuwa na mawazo tofauti na yenu mnawabatiza kuwa "wanapinga kila kitu" vichwa vyenu vimeachwa vitupu!Sasa hivi wanamsifia JK
Wewe ushazeeka na akili imekuwa mgando.yale yale tuliyozoea kuyasikia.