Kishimba Sekondari-Kahama, Tanzania.

Civilian Coin

JF-Expert Member
Dec 2, 2012
2,305
4,334
Wale wote tuliosoma O- Level pale Shule ya Sekondari Kishimba wilayani Kahama, MKOA WA Shinyanga.

Wale WA asubuhi (Morning Classes) na wale tuliokuwa jioni (Evening classes). Wote tulikuwa kitu kimoja na ili kuwa ngumu kutofautisha mwanafunzi WA asubuhi na WA jioni. Tulianza pamoja mwaka 1999 na tuka maliza wote kidato cha NNE mwaka 2002.
Bandugu tuanze kutaftana jamanii tuyajenge.

Ndimi Deogratius Kisandu, yule yuleeeee
 
Kisandu kuna majukwaa maalum,unachofanya ni sawa unapata nafasi adhimu ya kukutana na Magufuli hlf unamsalimia kwa sauti ya juu ' piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiipozzzzzz'
 
Unalako Jambo, hili ni jukwaa la siasa, Sasa hii ya school mates kutafutana humu haijakaa sawa
 
Back
Top Bottom