mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,163
- 787
Kwa kuwa sheria za kimataifa zinaruhusu mtu,kiongozi kuhisi kuwa anafanyiwa figisu ruksa kufleed Anapoona atakuwa salama na mkewe na wanawe, ikumbukwe uwepo wa Jumuiya za kimataifa na Sheria zake, dola zinabeba jukumu la kuheshimu