dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 22,121
- 49,376
... wachukuliwe hatua kali mara moja iwe fundisho kwa wajinga wengine waliokalia ofisi za umma bila kujua wajibu wao! Ona sasa, hotuba ya kwanza tu tangu awe de facto President tayari wamempotosha!Makosa sio ya Rais wetu mteule bali wale walioandaa ile taarifa. Hapa ndio tujue wapo wapotosha katiba kwa maslahi yao nyuma ya pazia.
R.I.P JPM
Mama Samia awe makini sana na hawa watu ikiwezekana kwenye issue muhimu za kitaifa has to seek different opinion hata kwa upinzani badala ya haya MATAGA.