Leo tukio hili lilitokea mahali fulani Dar es salaam.Traffic police anasimamisha daladala. Anachomoa ufunguo wa gari. Anakagua mambo kadhaa kama leseni, bima nk. Gari inakutwa na makosa. Anaambiwa apaki pembeni. Dereva anaambiwa awapandishe abiria wake katika gari nyingine ili wamalizie safari yao. dereva anasema hana hela. Abiria wanamwendea trafiic kumwambia mbona wanapotezewa muda? Anasema 'mmesikia jinsi dreva alivyosema, kwamba hana hela sasa mimi nifanyeje'.
Hivi kisheria hasa hapa ikoje?
Hivi kisheria hasa hapa ikoje?