Kisheria hili la huyu traffic na daladala likoje?

Soki

JF-Expert Member
Jan 5, 2011
1,303
279
Leo tukio hili lilitokea mahali fulani Dar es salaam.Traffic police anasimamisha daladala. Anachomoa ufunguo wa gari. Anakagua mambo kadhaa kama leseni, bima nk. Gari inakutwa na makosa. Anaambiwa apaki pembeni. Dereva anaambiwa awapandishe abiria wake katika gari nyingine ili wamalizie safari yao. dereva anasema hana hela. Abiria wanamwendea trafiic kumwambia mbona wanapotezewa muda? Anasema 'mmesikia jinsi dreva alivyosema, kwamba hana hela sasa mimi nifanyeje'.

Hivi kisheria hasa hapa ikoje?
 
Gari ikiwa na tatizo maana haina uwezo wa kubeba abiria. Kama dereva amepakia watu kwenye gari bovu basi amevunja makubaliano kati yake na abiria wake, hivyo traffic alikuwa sahihi kumnyooshea dereva kidole. Narudia: Trafic akiliona gari linatatizo linakosa uwezo wakukubeba. Mfano hana lesseni; Inatia shaka kama ni dereva kweli, akigonga au akipindua gari nani wakulaumiwa? Tusaidie serikali kutokomeza makosa na sio kumezea makosa mate.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom