johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,836
Mzee Mgaya anasema kitendo cha Halima Mdee na wenzake kukata rufaa Baraza kuu la Chadema kinaashiria kuwa kwa sasa wao siyo wanachama wa Chadema na hivyo wanaiomba kamati kuu iwarejeshee uanachama wao. Na kwa mujibu wa sheria mbunge ni lazima awe mwanachama wa chama cha siasa.
Mgaya anasisitiza kuwa mahali sahihi walipostahili kukimbilia akina Bulaya ni mahakamani ambako wangesimamisha maamuzi ya kamati kuu ya Chadema.
Mimi sijamuelewa mzee Mgaya aliyemwelewa ufafanuzi Tafadhali.
Hapa tupo kisheria siyo kiitikadi.
Maendeleo hayana vyama!
Mgaya anasisitiza kuwa mahali sahihi walipostahili kukimbilia akina Bulaya ni mahakamani ambako wangesimamisha maamuzi ya kamati kuu ya Chadema.
Mimi sijamuelewa mzee Mgaya aliyemwelewa ufafanuzi Tafadhali.
Hapa tupo kisheria siyo kiitikadi.
Maendeleo hayana vyama!