Kishapu: Wanafunzi zaidi ya 300 Shule ya Msingi Mwamala wanasomea chini ya mti. RC Shinyanga aingilia kati

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,896
141,829
Wanafunzi zaidi ya 300 wa shule ya msingi Mwamala wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wanasomea chini ya miti.

Wazazi wa wanafunzi hao wameamua kuchanga Tsh100,000 kila mmoja ili kujenga madarasa.

Naye mkuu wa mkoa wa Shinyanga amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kishapu kushirikiana na wazazi hao na kuhakikisha wanajenga madarasa manne haraka.

Chanzo: ITV habari

cc: Waziri Ummy Mwalimu
 
Wanafunzi zaidi ya 300 wa shule ya msingi Mwamala wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wanasomea chini ya miti

Wazazi wa wanafunxi hao wameamua kuchanga sh 100,000 kila mmoja ili kujenga madarasa.
Naye mkuu wa mkoa wa Shinyanga amemtaka mkuu wa wilaya ya Kishapu kushirikiana na wazazi hao na kuhakikisha wanajenga madarasa manne haraka.

Source: ITV habari

cc: Waziri Ummy Mwalimu
John najua huamini katika changamoto za mawazo mbadala,lakini uhalisia hatawewe hukuwa na kazi kubwa kiwango hiki,pole kwajitihada za kuibua mapungufu na hongera kwa kazi.
 
John najua huamini katika changamoto za mawazo mbadala,lakini uhalisia hatawewe hukuwa na kazi kubwa kiwango hiki,pole kwajitihada za kuibua mapungufu na hongera kwa kazi.
Sijajua Jafo alikuwa anajenga madarasa wapi?!!
 
Tozo itamaliza tatizo hili, madawati yatanunuliwa kwa malaki na mamilioni
 
Tuendelee kupanda ndege tu,,why tumenunua ndege kwa cash wakati huduma zetu za msingi kwa wananchi haziko sawa? Hii siyo hali nzuri kabisa na inatakiwa serikali ujipange kwenye vipaumbele vya matumizi ya hela za walipa kodi.
 
Wanafunzi zaidi ya 300 wa shule ya msingi Mwamala wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wanasomea chini ya miti.

Wazazi wa wanafunzi hao wameamua kuchanga Tsh100,000 kila mmoja ili kujenga madarasa.

Naye mkuu wa mkoa wa Shinyanga amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kishapu kushirikiana na wazazi hao na kuhakikisha wanajenga madarasa manne haraka.

Chanzo: ITV habari

cc: Waziri Ummy Mwalimu

Bwashee Mbona unapost mambo yanayoikosoa serikali yenu ya kijani? Enzi za Jiwe ulikuwa haupost vitu kama hivyo ambavyo vilikuwepo sana.
 
Wanafunzi zaidi ya 300 wa shule ya msingi Mwamala wilayani Kishapu mkoani Shinyanga wanasomea chini ya miti.

Wazazi wa wanafunzi hao wameamua kuchanga Tsh100,000 kila mmoja ili kujenga madarasa.

Naye mkuu wa mkoa wa Shinyanga amemtaka Mkuu wa Wilaya ya Kishapu kushirikiana na wazazi hao na kuhakikisha wanajenga madarasa manne haraka.

Chanzo: ITV habari

cc: Waziri Ummy Mwalimu
Tusimlaumu Ummy Sana. Kuna mzaramo Fulani kipindi Cha mwendazake alikua na pawa kweli kweli, yaani alikua Kama msaidizi wa waziri mkuu, fani Yale kuu ilikua kusuta watu, alishawahi kumsuta mchaga mmoja mpaka mchaga akazimia. Kila alipokua anaongea lazima ataje jina la kiongozi wake kwa kitefu Dr. John pombe Joseph Magufuli.
Kumbe mama alishajua dogo si lolote.
Huyo ndio wa kulaumiwa.
Ummy chapa kazi, ukumbuke na Ile shule ya Kilolo halafu huku wilaya ya ubungo wanafunzi wanakaa 300 kwa mkondo.
Makondo nae alikua blah blah tu.
Meanwhile Dada Joy Yuko bize na shule za private hasa zile academy zinazofundishia lugha anayotamani kuifahamu lkn bado haifahamu.
Akishajua ung'eng'e atahangaika na shule za serikali
 
WASUKUMA NI TA..TA...KA SANA! Mbunge shapu wa kishapu anashindwa hata kuktata mirunda aezeke turubali watoto wasinyeshewe mvua!
 
Mkurugenzi wa Kishapu mwl.Emmanuel Johnson simamia hili naufahamu uwezo wako ktk kuwajibika.
 
Back
Top Bottom