Kisarawe, Pwani: DC Nikki wa Pili atoa hatimiliki za kimila kwa Ranchi 24

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Nikki wa Pili jana amefanya jambo kubwa sana la kutoa hati miliki za kimila kwa ranchi 24 kwa wafugaji katika kijiji cha mafizi kwa ajili ya malisho ya mifugo 17920.

Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na mifugo,kukusanya kodi,kutunza mazingira na mazao ya wakulima.

Hilo nj Jambo la kuigwa Sana na kupigiwa mifano, hakika kazi inafanyika sana nchi hii.

Mama Samia kanyaga twende, shikilia hapohapo.

Kazi iendelee #kisarawe mpya#

Hiyo kazi ya mtangulizi wake! japo Temeke hawajua umahiri wake! Watamkubali tu
 
Acheni ishabiki, mpaka anazigawa ina maana kazi imefanyika muda tu. Hichi tunachoona ni product ya kazi ambazo Joketi kafanya na watumishi wa kisarawe. Yale yale ya uchumi wa kati kumbe kazi ilifanyika awamu zklizopita kabla ya awamu ya tano. Tuangalie na kutambua kazi zilizofanywa na watangulizi wa kiongozi husika kabla ya ushabiki
 
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Nikki wa Pili jana amefanya jambo kubwa sana la kutoa hati miliki za kimila kwa ranchi 24 kwa wafugaji katika kijiji cha mafizi kwa ajili ya malisho ya mifugo 17920.

Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na mifugo,kukusanya kodi,kutunza mazingira na mazao ya wakulima.

Hilo nj Jambo la kuigwa Sana na kupigiwa mifano, hakika kazi inafanyika sana nchi hii.

Mama Samia kanyaga twende, shikilia hapohapo.

Kazi iendelee #kisarawe mpya#

Hatua moja wapo kubwa sana katika process za kuatatua mgogoro wa wakulima na wafugaji. kila mtu apewe sehemu ya kufanyia shughuli yake .so akihama awe mchokozi.ila pia wawekewe na miundombinu mingine inayohitajika kwa wafugaji
 
Nikk awafundishe na wakuu wake wa idara namna ya kuvuta bange na kutafuna gomba ili kazi iendelee
 
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Nikki wa Pili jana amefanya jambo kubwa sana la kutoa hati miliki za kimila kwa ranchi 24 kwa wafugaji katika kijiji cha mafizi kwa ajili ya malisho ya mifugo 17920.

Lengo ni kuondoa migogoro ya ardhi, kuboresha huduma za mifugo, uvunaji wa bidhaa zitokanazo na mifugo,kukusanya kodi,kutunza mazingira na mazao ya wakulima.

Hilo nj Jambo la kuigwa Sana na kupigiwa mifano, hakika kazi inafanyika sana nchi hii.

Mama Samia kanyaga twende, shikilia hapohapo.

Kazi iendelee #kisarawe mpya#

Aangali na swala la usalama kale kamdada kalishindwa kabisaa mifugo yetu inaibiwa sana na wamangati.
 
Acheni ishabiki, mpaka anazigawa ina maana kazi imefanyika muda tu. Hichi tunachoona ni product ya kazi ambazo Joketi kafanya na watumishi wa kisarawe. Yale yale ya uchumi wa kati kumbe kazi ilifanyika awamu zklizopita kabla ya awamu ya tano. Tuangalie na kutambua kazi zilizofanywa na watangulizi wa kiongozi husika kabla ya ushabiki
Bado sijakuelewa unataka kusemaje
 
Back
Top Bottom