Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,223
Leo Mh.Nikki wa Pili amepokelewa na uongozi wa CCM wilaya ya kisarawe.
Sasa ni rasmi Mh.Nikki ni kada mtiifu wa CCM, hakina historia imeandikwa tena.
Vijana wenye akili na maarifa wamo ndani ya CCM. Mh. Nikki ni hazina ya baadae.
Mh.Nikki amepokelewa na mwenyekiti wa CCM wilaya Mh.Khalfan Sika. Huu ni moja ya usajili bora kabisa.
Ikumbukwe moja ya sababu kubwa ya CCM kuwa chama dume duniani ni kutokana na kukumbatia vijana wenye akili kama ya Mh.Nikk
Hivyo natoa wito kwa vijana wote wenye akili timamu kujiunga na CCM.
Karibu Mh. Nikki kwenye chama dume.
#nasimama na mama# kazi iendelee#
#kisarawe mpya#
Sasa ni rasmi Mh.Nikki ni kada mtiifu wa CCM, hakina historia imeandikwa tena.
Vijana wenye akili na maarifa wamo ndani ya CCM. Mh. Nikki ni hazina ya baadae.
Mh.Nikki amepokelewa na mwenyekiti wa CCM wilaya Mh.Khalfan Sika. Huu ni moja ya usajili bora kabisa.
Ikumbukwe moja ya sababu kubwa ya CCM kuwa chama dume duniani ni kutokana na kukumbatia vijana wenye akili kama ya Mh.Nikk
Hivyo natoa wito kwa vijana wote wenye akili timamu kujiunga na CCM.
Karibu Mh. Nikki kwenye chama dume.
#nasimama na mama# kazi iendelee#
#kisarawe mpya#